Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu kufuatilia kila posti ili niione picha yake na ukosaji wa maadili sijaionaNimeburuza hadi mwisho siioni picha. Huu uzi ni fake
Afadhali umenisaidia hilo jina maana uwa wanalitamka fasta kiasi kwamba uwa silipati vizuriMkuu wapo wengi sana wa hivyo juzi kati nilikuwa naangalia BBC DIRA YA DUNIA kuna mdada anaitwa Beryl Wamban siku hiyo alikuwa anatangaza sehemu ile ya michezo aisee ile nguo yake ya chini sikufurahishwa nayo kiukweli.
ha ha haa!! haya mkuu,Afadhali umenisaidia hilo jina maana uwa wanalitamka fasta kiasi kwamba uwa silipati vizuri
Mh! Mkuu hata wewe unataka?Picha mkuu nione msambwanda
bongo bahati mbaya tuuSio utamaduni wetu mkuu ndo mana chura ya snura ilifungiwa lakin wimbo wa ACE HOOD- MY SPEAKER kwa upo fresh tu au anaconda ya nick minaj poa tu
Mkuu hapo mi sijaelewa kabisa yani sasa sijui ni ushamba wangu ama nini mbona mi sijaona icho cha ajabu kinachokunyima raha wewe? yaani hapo labda umeona nini ambacho kinakufanya useme kua sio maadili?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Haya picha hizo
Mkuu hapo mi sijaelewa kabisa yani sasa sijui ni ushamba wangu ama nini mbona mi sijaona icho cha ajabu kinachokunyima raha wewe? yaani hapo labda umeona nini ambacho kinakufanya useme kua sio maadili?
Ndiyo mkuuMh! Mkuu hata wewe unataka?
hahahaha kwa hiyo mwenye sauti nzuri ni shadeee na sura nzuri?Kuhusu mavazi sina comment ila mbona yule hana sauti ya utangazaji,,,??hata sura ya mvuto hana labda matako ndo yamembeba ila ni mganga njaa analazimisha fani kwakwel sauti mbovu
huyo demu mjinga sana its better angekuwa sister wa kikatolk as mzee wake alvotaka awe...anaona ufahar kujiuzisha kwenye media na vipaja vyakeHuyu binti mavazi yake naona hayapo kimaadili hasa ikizingatiwa kuna baadhi ya familia zinapenda kufuatilia tamthilia ya siri za familia mara baada ya kumaliza suzzy na sam wa misago ni jambo la busara kuvaa mavazi ya kuutunza mwili wake vizuri kutuachia vitovu nje hii ina maana gani?
Kuna waandishi na watangazaji wameshika nafasi kubwa serikalini lakini walianzia kwenye hiyo fani yake je hii haiwezi kuja kumletea madhara hapo baadae kwa mwenendo wake huu wa kuanika mwili wake hovyo?
Maadili yazingatiwe utandawazi usituzidie.
Kwa levo zako ww uyo atakua na sura nzuri mana nyie wahaya sura zenu si mpoki-type ila mi naona sura na sauti hamna kitu.hahahaha kwa hiyo mwenye sauti nzuri ni shadeee na sura nzuri?