yaani nimesahau maana nilivyotoka pande hizo miaka hiyo sijawahi rudi tena ila nazitamani zile nyakati na zile tamaduniHabari noo!!basi hapo ulikua umevaa rubega sidaiii na moka chinii napigia ngishu tu muluzii[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mashati ya "bushoke" jee??Jinzi za mikasi
Ziligewa hili jina kutokana na wimbo wa marehemu Mangwea.
Kodrai
Ewaaa na viatu vyake vya BushokeMashati ya "bushoke" jee??
FUBU stands for "For Us Before Us" group of 5 members.FUBU O5,DAMAN DADA,PHAT FARM
mm namfaham diamond John tu napo nimemjua kwenye show ya shark tank ila b4 nilikuwa napiga mitupio tu ya FUBU 05 .... hii brand mkuu bado ipo ?FUBU stands for "For Us Before Us" group of 5 members.
Mkuu unajua brand huja na kupotea..... Ukivaa sasa hivi FUBU 05 utaonekana umetoka Sanya Juu huko.......ni sawa na brand ya Calvin Klein "cK"mm namfaham diamond John tu napo nimemjua kwenye show ya shark tank ila b4 nilikuwa napiga mitupio tu ya FUBU 05 .... hii brand mkuu bado ipo ?
Dah umenikumbusha mbali sana ndugu yanguDaa kitambo mkuu Fubu,Fila,Fox daa kweli kila msimu na historia yake
cK daaah kitambo ndo mipangoo yenyewe hii ila cK huwa naziona ona kuzurura zura madukan humoMkuu unajua brand huja na kupotea..... Ukivaa sasa hivi FUBU 05 utaonekana umetoka Sanya Juu huko.......ni sawa na brand ya Calvin Klein "cK"