The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Kweli asee maneno meeengi khaaa wakwende hukoWapambane na hali zao
Hueleweki "anampinzani"au "hanampinzani"Miaka Mia hata viatu vya King diamond platinumz awezi kuvi shika tu,na Wala sio kuvivaaa yeye mavoko amesha kufa kimuziki time will tell, diamond platinumz anampinzani yeyote bongo na Africa kalale wewe.
Unajua kiswahili kweli?Hueleweki "anampinzani"au "hanampinzani"
Ooh.Rayvan nae muda wowote anatoka..wakristo wasafi hapawafai jamaa wanafuga majini hatari...Wamemkatalia Rayvan kujenga kanisa ila wao wanajenga misikiti...
Tale alishasema kwenye interview Clouds FM anapuliza maana yeye mswahiliUwezo wako wa kufikiri umeishia hapa?
kwa nini wewe usikitike wakati Diamond mwenyewe hajasikitika???Msanii msaliti Rich Mavoko ameonesha chuki ya wazi wazi kabisa kwa Diamond Platnumz kwa kuamua kumu unfollow kabisa I.G yeye pamoja na mama yake mzazi bi Sandra.
Mavoko hajaishia hapo tu , ameamua mpaka kufuta post zote za show alizipiga akiwa chini ya wasafi na picha zote alizopiga na Diamond Platnumz na mambo yote yanayohusu wasafi kiujumla.
Kiukweli hili swali limenisikitisha sana kwa kuwa huyu Mavoko amesaidiwa sana na Mondi na alikuwa ameshaanza kutoboa kimataifa ila kuna watu wachache wamemshika masikio na kumpandikiza chuki dhidi ya Mondi hatimaye ameondoka wasafi kwa dharau pamoja na kurusha madongo kila kukicha.
Kwa hakika waswahili husema "Fadhila mfadhiri mbuzi utakula mchuzi , usimfadhiri binadamu anamaudhi" ndicho ninachokiona kwa huyu Mavoko na ninathubutu kusema mwisho wake wa muziki unakaribia , Time Will Tell.
Msanii msaliti Rich Mavoko ameonesha chuki ya wazi wazi kabisa kwa Diamond Platnumz kwa kuamua kumu unfollow kabisa I.G yeye pamoja na mama yake mzazi bi Sandra.
Mavoko hajaishia hapo tu , ameamua mpaka kufuta post zote za show alizipiga akiwa chini ya wasafi na picha zote alizopiga na Diamond Platnumz na mambo yote yanayohusu wasafi kiujumla.
Kiukweli hili swali limenisikitisha sana kwa kuwa huyu Mavoko amesaidiwa sana na Mondi na alikuwa ameshaanza kutoboa kimataifa ila kuna watu wachache wamemshika masikio na kumpandikiza chuki dhidi ya Mondi hatimaye ameondoka wasafi kwa dharau pamoja na kurusha madongo kila kukicha.
Kwa hakika waswahili husema "Fadhila mfadhiri mbuzi utakula mchuzi , usimfadhiri binadamu anamaudhi" ndicho ninachokiona kwa huyu Mavoko na ninathubutu kusema mwisho wake wa muziki unakaribia , Time Will Tell.
Msanii msaliti Rich Mavoko ameonesha chuki ya wazi wazi kabisa kwa Diamond Platnumz kwa kuamua kumu unfollow kabisa I.G yeye pamoja na mama yake mzazi bi Sandra.
Mavoko hajaishia hapo tu , ameamua mpaka kufuta post zote za show alizipiga akiwa chini ya wasafi na picha zote alizopiga na Diamond Platnumz na mambo yote yanayohusu wasafi kiujumla.
Kiukweli hili swali limenisikitisha sana kwa kuwa huyu Mavoko amesaidiwa sana na Mondi na alikuwa ameshaanza kutoboa kimataifa ila kuna watu wachache wamemshika masikio na kumpandikiza chuki dhidi ya Mondi hatimaye ameondoka wasafi kwa dharau pamoja na kurusha madongo kila kukicha.
Kwa hakika waswahili husema "Fadhila mfadhiri mbuzi utakula mchuzi , usimfadhiri binadamu anamaudhi" ndicho ninachokiona kwa huyu Mavoko na ninathubutu kusema mwisho wake wa muziki unakaribia , Time Will Tell.
Duu soma vzr comment yako usije chekwa. Ulikua una maanisha Dimond hana mpinzani ndani ya bongo na Africa ila umeandika "dimond Anampinzani" yani umekoroga halafu unaniuliza mimi kama najua kiswahili?????Unajua kiswahili kweli?
Daaaaaaah unajua tofauti ya a na ha?Duu soma vzr comment yako usije chekwa. Ulikua una maanisha Dimond hana mpinzani ndani ya bongo na Africa ila umeandika "dimond Anampinzani" yani umekoroga halafu unaniuliza mimi kama najua kiswahili?????
Katika kila mgogoro uliopo katika jamii, Kuna mengi saaana yaliyo nyuma ya pazia, na ningumu kuyajua Bali Yale yaliyopo juu juu ndo jamii hutoa hukumu pasipo kujua hasa kiini Cha mgogoro....na hawawezi kusema mbele ya jamii....unaweza kukuta Mondi kamgongea manzi wake ampendaye...hili hawawezi kuongea media....Ni mawazo yangu lakini..Msanii msaliti Rich Mavoko ameonesha chuki ya wazi wazi kabisa kwa Diamond Platnumz kwa kuamua kumu unfollow kabisa I.G yeye pamoja na mama yake mzazi bi Sandra.
Mavoko hajaishia hapo tu , ameamua mpaka kufuta post zote za show alizipiga akiwa chini ya wasafi na picha zote alizopiga na Diamond Platnumz na mambo yote yanayohusu wasafi kiujumla.
Kiukweli hili swali limenisikitisha sana kwa kuwa huyu Mavoko amesaidiwa sana na Mondi na alikuwa ameshaanza kutoboa kimataifa ila kuna watu wachache wamemshika masikio na kumpandikiza chuki dhidi ya Mondi hatimaye ameondoka wasafi kwa dharau pamoja na kurusha madongo kila kukicha.
Kwa hakika waswahili husema "Fadhila mfadhiri mbuzi utakula mchuzi , usimfadhiri binadamu anamaudhi" ndicho ninachokiona kwa huyu Mavoko na ninathubutu kusema mwisho wake wa muziki unakaribia , Time Will Tell.
Katika kila mgogoro uliopo katika jamii, Kuna mengi saaana yaliyo nyuma ya pazia, na ningumu kuyajua Bali Yale yaliyopo juu juu ndo jamii hutoa hukumu pasipo kujua hasa kiini Cha mgogoro....na hawawezi kusema mbele ya jamii....unaweza kukuta Mondi kamgongea manzi wake ampendaye...hili hawawezi kuongea media....Ni mawazo yangu lakini..
Mavoko alikuwa maarufu na vizuri kabla ya kuingia wasafi.
Alishaanza kufanya show nje.
Alishaanza kushoot video SA.
Tangu aingie wasafi naona kapotea tu.
Labda ameambulia views Youtube.