that your opinion and not fact!!Mavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
Hata wewe wa zaman sio wa sasa.. Binadam hawi staticinawezekana maana mavoko wa zamani si wasasa zamani alikua haimbi nyimbo zenye ujumbe wa ajabu sijui makokoro
Bonge la ngomaMavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
katika aspect ipi? kama zamani alikua anaandika mashairi mazuri kuliko sasa tusiseme?Hata wewe wa zaman sio wa sasa.. Binadam hawi static
Halafu KTM hata nomination haikupata, lkn haters mlikaa kimya hata hamkupiga kelele.Tulieni sasa mshkaji akawanie tuzo za nje na Kokoro hiyo Pacha wangu pamoja na uzuri wake haikumfikisha popotePacha wangu ilitulia sana kuanzia audio mpaka video
Nimekwambia wimbo ni mbaya na sio kwamba hana mafanikio au la.
Hizo simu anapigiwa simply kwasababu yupo chini ya WCB.
Halafu KTMA hata nomination haikupata, lkn haters mlikaa kimya hata hamkupiga kelele.Tulieni sasa mshkaji akawanie tuzo za nje na Kokoro hiyo Pacha wangu pamoja na uzuri wake haikumfikisha popote
Nani hater?Halafu KTM hata nomination haikupata, lkn haters mlikaa kimya hata hamkupiga kelele.Tulieni sasa mshkaji akawanie tuzo za nje na Kokoro hiyo Pacha wangu pamoja na uzuri wake haikumfikisha popote
Mbaya kwako kasikilize ajeNimekwambia wimbo ni mbaya na sio kwamba hana mafanikio au la.
Hizo simu anapigiwa simply kwasababu yupo chini ya WCB.
Watu wanaroho mbaya wakati jamaa anakosa tuzo kila mwaka walikuwa wanafurahi leo kapata.msahada kwa diamond wanachukia kweli kweli kwanini afanikiwe huy ndo ilivyo kwenye jamii zetu we nyimbo kama roho yangu na pacha wangu kufanya vizuri pamoha na machui humo humo lakini jamaa bado tuzo alikuw anakosa me nahisi kipind cha nyumba ndo alikuw hakubalikiHalafu KTM hata nomination haikupata, lkn haters mlikaa kimya hata hamkupiga kelele.Tulieni sasa mshkaji akawanie tuzo za nje na Kokoro hiyo Pacha wangu pamoja na uzuri wake haikumfikisha popote
Kweli kabisa yaani nilishangaa sana kipindi kile eti Pacha wangu haikupata hata nomination kwenye Kili halafu wabongo walikaa kimya. Yaani kuna watu wachawi sana duniani wanataka Movoko awaimbie wao tu lkn yeye asipate chochote ndo maana wanaponda sana Mavoko kufanya mziki wa biashara kwa sababu wanajua atapiga pesa. Tucheki hawa watu walivyobadilika na mambo yakaenda poa;Watu wanaroho mbaya wakati jamaa anakosa tuzo kila mwaka walikuwa wanafurahi leo kapata.msahada kwa diamond wanachukia kweli kweli kwanini afanikiwe huy ndo ilivyo kwenye jamii zetu we nyimbo kama roho yangu na pacha wangu kufanya vizuri pamoha na machui humo humo lakini jamaa bado tuzo alikuw anakosa me nahisi kipind cha nyumba ndo alikuw hakubaliki
Hahaaammmmh dayana cc dayana.
.
ooh Halima cc halimaaa!
Haters mna pozi za kilady gaga!
mizigo ya kuvunja chaga...
vifaranga mmetangaaaaa[emoji443]
Hapo hata mie nilishangaa sana silali,roho yangu na pacha wangu izi nyimbo mavoko alizichora aswaaa lakin hata tuzo ya kufutia majasho hakupata kweli tz Noma snaWatu wanaroho mbaya wakati jamaa anakosa tuzo kila mwaka walikuwa wanafurahi leo kapata.msahada kwa diamond wanachukia kweli kweli kwanini afanikiwe huy ndo ilivyo kwenye jamii zetu we nyimbo kama roho yangu na pacha wangu kufanya vizuri pamoha na machui humo humo lakini jamaa bado tuzo alikuw anakosa me nahisi kipind cha nyumba ndo alikuw hakubaliki
Hapo kwenye "silali" umenigusa kweli mkuuMavoko hadi leo hajatunga wimbo ulionishika kama Silali.
Ule ndio wimbo wangu bora kabisa wa Mavoko, utunzi na uandishi murua kabisa ambao kila niusikilizapo lazima nitikise kichwa na kukubali...naam hapa kijana alituliza akili.
Kidoooogo labda Pacha wangu na Ibaki story, hii kokoro ya sasa kapotoka.
Sio Mavoko yule niliyemkubali.
At the end of the day mje mtuletee mrejesho kati ya hizo ngoma mbili Muziki vs Kokoro ipi imefanikiwa zaidiAcheni maneno wekeni MUZIKI,huku kwetu tunachofahamu darassa kafanya uhalifu ameua kokoro sasa imekua kokoa,na huyo mavocal ndo anapotea hvo