Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Kumekuwa na maneno mengi ya kumbeza mafugoal ambaye mpaka sasa ana mabao 4 kama sikosei. Lakini kiuhalisia ludit mavugo ni mchezaji mzuri mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira.
Tatizo lake kubwa ni tension na pressure aliyo nayo kutokana namna usajili wake ulivyofanyika na mategemeo makubwa ya wanasimba kitu ambacho kinamfanya ajione kama ana deni kubwa sana.
Hii imempa sababu ya kuwa na uchoyo au uchu wa kufunga na akasahau kuwa wakati mwingne anaweza akawa anatengeneza magol kwa wengine. Hii ni kawaida imewah wapata wachezaj weng akiwepo zidane na sasa pogba.
Wachezaj hawa wanaweza kusaidiwa na kocha pamoja na wapenzi wa team husika.wakija zoea huwa wanakuwa wachezaj wazuri sana. Hivyo nawashauri washabiki wa mpira ukiweka mbali usimba na uyanga. Tunamwona chirwa naye alivyochukua muda mrefu lakini sasa anaweza akazoea na tukamwona akifunga
Mchezaji wa aina hii ili afanye vizur anapaswa atulie asijichukulie kama yeye anabeba team nzima na ana deni kubwa sana kwa team husika. Hii hali inaondoa umakini.
Lakini atakapocheza kama mchezaji wa kawaida atakuwa makini na kuepusha makosa anayosemwa. Lakin pia kumekuwa na juhudi za makusudi za wachezaj wa ndani kuponda wachezaj wa nje waonekane hawana maana.hili nalo si zuri.tuwape muda wachezaji wote hawa kwa nafasi zao.
Tatizo lake kubwa ni tension na pressure aliyo nayo kutokana namna usajili wake ulivyofanyika na mategemeo makubwa ya wanasimba kitu ambacho kinamfanya ajione kama ana deni kubwa sana.
Hii imempa sababu ya kuwa na uchoyo au uchu wa kufunga na akasahau kuwa wakati mwingne anaweza akawa anatengeneza magol kwa wengine. Hii ni kawaida imewah wapata wachezaj weng akiwepo zidane na sasa pogba.
Wachezaj hawa wanaweza kusaidiwa na kocha pamoja na wapenzi wa team husika.wakija zoea huwa wanakuwa wachezaj wazuri sana. Hivyo nawashauri washabiki wa mpira ukiweka mbali usimba na uyanga. Tunamwona chirwa naye alivyochukua muda mrefu lakini sasa anaweza akazoea na tukamwona akifunga
Mchezaji wa aina hii ili afanye vizur anapaswa atulie asijichukulie kama yeye anabeba team nzima na ana deni kubwa sana kwa team husika. Hii hali inaondoa umakini.
Lakini atakapocheza kama mchezaji wa kawaida atakuwa makini na kuepusha makosa anayosemwa. Lakin pia kumekuwa na juhudi za makusudi za wachezaj wa ndani kuponda wachezaj wa nje waonekane hawana maana.hili nalo si zuri.tuwape muda wachezaji wote hawa kwa nafasi zao.