Uchaguzi 2020 Mawakala wa CHADEMA wamejiaandaje na Uchaguzi mkuu 2020?

Uchaguzi 2020 Mawakala wa CHADEMA wamejiaandaje na Uchaguzi mkuu 2020?

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
7,574
Reaction score
10,598
Wakuu Salaam:

Mawakala hua ni sehemu ya uchaguzi katika kuhakikisha upigaji na utaratibu wa kuhesabu kura unaenda kwa Uhuru na Haki.

Mawakala wa Chama husika wanatakiwa kuhakikisha kura zilizopigwa kwa upande wa chama chao zinahesabiwa kwa haki bila uhuni wowote.

Kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, tulishughudia mengi yakiwemo mawakala wa Chadema kutokupewa kiapo au kuhusika katika mchakato mzima wa kuhesabiwa kura na mambo mengine.

Mawakala wanatakiwa wawepo kila kituo cha kupigia kura iwe mjini au vijijini.

Siku chache zijazo tunafanya uchaguzi Mkuu, je chama cha upinzani CHADEMA kimejiandaaje na mawakala wao kuhusu uchaguzi huu ili kusiwepo na dhuluma ama rushwa ya aina yoyote?
 
Kifedha chama kina afya mbaya , chama kipo kwenye high dependency facility, ni maumivu tuu. Nawapa pole. Bahati mbaya hata hali ya wagombeya udiwani ndio usiseme. Nafikiri walighafirika, hawakujua uchaguzi utakuwa October 2020.
 
CCM wajipange kisaikolojia tu, salama yao waachie nchi kwa amani. Wapinzani hawahitaji sana mawakala katika uchaguzi huu, wanachohitaji ni machafuko yatokee hata kidogo tu ili mabeberu watie timu.

Hizi figisu wanazofanya kwenye kampeni zinawekwa kwenye rekodi ya kuja kuhalalisha kumng'oa jiwe kwa nguvu na kumfungulia mashtaka katika mahakama ya kimataifa.

Nchi za Ulaya na Marekani wanasubiri tu uchaguzi uishe wafanye yao.

UN imeionya serikali ya jiwe, AMNEST INTERNATIONAL imeionya serikali ya jiwe na kuomba mataifa yaipe kibano Tanzania, Marekani (Pentagon Na Baraza La Wakilishi) wameionya Tanzania. Ila viongozi wanajifanya wabishi sana kuliko hata Sadam Hussein na Muamar Gaddafi.

Sikio la kufa halisikii dawa, yajayo yanafurahisha sana.
 
Kifedha chama kina afya mbaya , chama kipo kwenye high dependency facility, ni maumivu tuu. Nawapa pole. Bahati mbaya hata hali ya wagombeya udiwani ndio usiseme. Nafikiri walighafirika, hawakujua uchaguzi utakuwa October 2020.
Sasa kama ni kweli chama hakina fedha za kutosha, ni dhahiri bao la mkono lipo na ule uhuru na haki katika uchaguzi inabidi hiyo dhana isahaulike
 
Labda hua kuna kununuliwa kwa mawakala wa chama pinzani
Wakat tunaendelea na uchaguz mida ya saa tisa wenzetu wa sisi em wakaletewa msos kwenye vidubwasha vya tek awey tukamshtua kiongoz wetu msos vp akatuambia ngoja niwasiliane na meneja mida ya kumi na moja jibu linarud mgombea yupo bize hapokei sim lkn wakimpata atarekebisha ikawa haina jins tukaongea na jamaa wa sisiem watuazime walau maj au juis kiongoz wao akasema fresh,saa mbili usiku tukaletewa msos tukala kwa zamu wakat huo chumba cha kuhesabia kura kipo Moto, tukakomaa na Lile zoez mpaka asubuh ya siku ya pili masanduku yalipopelekwa kituo cha majumuisho kwa bakhti mbaya jamaa aliangukia pua na sis hatukupata hata mia.
 
CCM wajipange kisaikolojia tu, salama yao waachie nchi kwa amani. Wapinzani hawahitaji sana mawakala katika uchaguzi huu, wanachohitaji ni machafuko yatokee hata kidogo tu ili mabeberu watie timu.

Hizi figisu wanazofanya kwenye kampeni zinawekwa kwenye rekodi ya kuja kuhalalisha kumng'oa jiwe kwa nguvu na kumfungulia mashtaka katika mahakama ya kimataifa.

Nchi za Ulaya na Marekani wanasubiri tu uchaguzi uishe wafanye yao.

UN imeionya serikali ya jiwe, AMNEST INTERNATIONAL imeionya serikali ya jiwe na kuomba mataifa yaipe kibano Tanzania, Marekani (Pentagon Na Baraza La Wakilishi) wameionya Tanzania. Ila viongozi wanajifanya wabishi sana kuliko hata Sadam Hussein na Muamar Gaddafi.

Sikio la kufa halisikii dawa, yajayo yanafurahisha sana.
Jeshi letu ni imara kuliko yote Afrika, hakuna mbwa atakuja kumsumbua rais wetu meko fool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wajipange kisaikolojia tu, salama yao waachie nchi kwa amani. Wapinzani hawahitaji sana mawakala katika uchaguzi huu, wanachohitaji ni machafuko yatokee hata kidogo tu ili mabeberu watie timu.

Hizi figisu wanazofanya kwenye kampeni zinawekwa kwenye rekodi ya kuja kuhalalisha kumng'oa jiwe kwa nguvu na kumfungulia mashtaka katika mahakama ya kimataifa.

Nchi za Ulaya na Marekani wanasubiri tu uchaguzi uishe wafanye yao.

UN imeionya serikali ya jiwe, AMNEST INTERNATIONAL imeionya serikali ya jiwe na kuomba mataifa yaipe kibano Tanzania, Marekani (Pentagon Na Baraza La Wakilishi) wameionya Tanzania. Ila viongozi wanajifanya wabishi sana kuliko hata Sadam Hussein na Muamar Gaddafi.

Sikio la kufa halisikii dawa, yajayo yanafurahisha sana.
Hao jamaa hawaj hv HV tu, ikitokea wakampiga tafu tundu lazima awe kinyago wao,atalazimika kuwalipa kwa namna ambayo wao wanataka
 
Hilo swali ndio nataka kumuuliza Lissu hapo kesho ambapo atakuwa humu jukwaani
 
Kati ya sehemu kuna bao la mkono, basi ni kwa mawakala
Kabisa mm ni CCM damu lakini leo nimechukua kadi ya chadema na nimepewa connection ya kulinda kura za Chadema, wakubwa wangu wa CCM wamenipongeza saana mimi kijana wao machachari kwa kupenya ngome ya upinzani
 
Kabisa mm ni CCM damu lakini leo nimechukua kadi ya chadema na nimepewa connection ya kulinda kura za Chadema, wakubwa wangu wa CCM wamenipongeza saana mimi kijana wao machachari kwa kupenya ngome ya upinzani
Kwahiyo utakua mwaminifu?
 
Back
Top Bottom