YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kama ilivyo kwenye mashamba makubwa ya miwa Tanzania ya viwanda vya sukari kama Mtibwa, Kilombero nk ambako hutoa ajira nyingi mno za msimu kwenye mashamba yao vivyo hivyo Ulaya, Marekani na Kanada
Ona kijiji hiki cha Thailand ambacho ambacho wanakijiji wake kila mwaka msimu wa kuvuna matunda pori sweden huenda kuvuna kwa kipindi cha miezi miwili mshahara wao kwa mwezi huwa ni Euro 2000 sawa na shilingi za kitanzania 5,600,000 kwa miezi miwili hupata shilingi 11,200,000
Mkoloni hizi kazi hizi za mshambani za msimu kwenye mashamba ya Tumbaku,katani nk alipenda kuwapa watu wa vijijini wachapa kazi kutoka Kigoma na Njombe. IIeweke hizi kazi sio za vi modal na za brother na ma sister du wa mijini watu wakachukuliwe vijijini sababu wakipelekwa wasioleweka kule image ya nchi ikichafuta hatuwezi pata fursa tena kama nchi .Hivyo kazi za mashambani wapelekwe wenyewe wanaoziweza
VIDEO HIYO HAPO
Ona kijiji hiki cha Thailand ambacho ambacho wanakijiji wake kila mwaka msimu wa kuvuna matunda pori sweden huenda kuvuna kwa kipindi cha miezi miwili mshahara wao kwa mwezi huwa ni Euro 2000 sawa na shilingi za kitanzania 5,600,000 kwa miezi miwili hupata shilingi 11,200,000
Mkoloni hizi kazi hizi za mshambani za msimu kwenye mashamba ya Tumbaku,katani nk alipenda kuwapa watu wa vijijini wachapa kazi kutoka Kigoma na Njombe. IIeweke hizi kazi sio za vi modal na za brother na ma sister du wa mijini watu wakachukuliwe vijijini sababu wakipelekwa wasioleweka kule image ya nchi ikichafuta hatuwezi pata fursa tena kama nchi .Hivyo kazi za mashambani wapelekwe wenyewe wanaoziweza
VIDEO HIYO HAPO