mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Naomba aya 1 nipate elmu
Vijana wanalishwa sumu. Ili wajilipue mabomu
Quran ina verse zaidi ya 40 zinazoongelea vita ya kupigania dini (Jihad)
Magaidi wanazitumia hizo verse kuwashawishi vijana watoroke kwao na kwenda kupigana vitu ya kidini...