mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Vijana wanalishwa sumu. Ili wajilipue mabomu
Quran ina verse zaidi ya 40 zinazoongelea vita ya kupigania dini (Jihad)
Magaidi wanazitumia hizo verse kuwashawishi vijana watoroke kwao na kwenda kupigana vitu ya kidini...
Of course kwa wewe ambaye hujapoteza kitu utasema hivyoZanzibar haijawahi kuvamiwa acha kujitoa ufahamu.
CCMSamia ni wa wapi
Mkuu kiweke tu hapa..hakuna haja ya pm.Waislamu duniani sio wajinga kama ambavyo mnajaribu kuwafikiria. Kwa muislam aliyejaribu kusoma sana Quran na kuielewa kweli kweli asipojihusisha na jihad basi ujue moyoni mwake anapambana sana. Kiukweli kuna mafundisho mengi sana ambayo yanashawishi kufanya matendo ambayo general population tumeya-term kama matendo ya kigaidi.
Kwa anayetaka kujua zaidi anicheki nimtumie kitabu kilichoandikwa na Pakistanian Devout Muslim kinaitwa 'ANSWERING JIHAD: A better Way Foward'
Naomba aya 1 nipate elmu
Why?Hii sio uamsho
Huoni haya mambo yameanza kushamiri baada ya wao kutolewa gerezani..connect dots.Why?
Kweli kabisa ,hawajaacha tabia zaoHuoni haya mambo yameanza kushamiri baada ya wao kutolewa gerezani..connect dots.
#MaendeleoHayanaChama
Inasikitisha sanaMagaidi tayari wameanza kuleta chokochoko za kukataa uhuru wa kuabudu kwa wakristo.
Serikali isicheke na hawa tumbili.
#MaendeleoHayanaChama