Mawakala wa Ushuru Jiji la Dar es Salaam watafuna tsh bilioni 10 walizokusanya, RC Makalla awapa siku 60 wazirejeshe!

Mawakala wa Ushuru Jiji la Dar es Salaam watafuna tsh bilioni 10 walizokusanya, RC Makalla awapa siku 60 wazirejeshe!

Baraza la Madiwani wa Jiji la DSM wamesema mawakala wa kutoza Ushuru wametafuna Jumla ya tsh bilioni 10 walizokusanya

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa mh Makalla amewapa siku 60 wawe wamezirejesha vinginevyo atawaburuza mahakamani

Chanzo: ITV habari

Hizo hela ni za wanachi. warudishe immediately au wawekwe ndani. Siku 60 za nini huku wameiba?
 
Nchi hii kila mtu mwizi

Kila mtu ana mawazo ya kukwiba

Ova
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
 
watoza ushuru katika jiji la daresalaam fedha zote za ushuru walizokusanya katika kipibdi tofauti hazifahamiki zilipo! Mkuu wa mkoa wa daresalaam AMOS Makala amewapa siku 60 zaidi ya hapo atawaburuza mahakamani ! Sisi wananchi tunajiuliza wezi mnawapa siku sitini za nini kwanini wasirejeshe pesa hizo mda huohuo mlipogundua ubadhilifu huo au hizo ni kauli za kisiasa kuonesha mnafanya kazi kumbe mnalamba asali!

Mbona wezi wa kuku hawapewi mda zaidi ya kukamatwa na kuwekwa mahabusu kisha kufikishwa mahakamani!? Au mmesubiri wawaibie wananchibkupitia kwenye ushuru mwingine waweze kulipa pesa hiyo!

Kwanini serikali ya awamu ya sita inapenda kulinda wezi namna hii na kuunda kamati ambazo hazina mashiko wala tija katika utendaji kazi.

Kama mtu ameiba na mmejiridhisha kuba haja gani ya kukaa nae meza moja!? Hii haikubaliki hata kidogo ndiyo maana nasema kuwa siku raisi akiigia madarakani kama jpm waliowengi watazitapika fedha wanazokwapua halafu wataanza kunungunika wakisema ni pesa zao wenyewe walizozitafta.
 
Siku sitini ni nyingi Sana. Hizo pesa wanapaswa kuzitoa leo kupitia matundu yeyote waliyo nayo kama alivyowahi kutamka kiongozi fulani.
 
Wako wangapi hao mawakala na kila mmoja atalipa kiasi gani.tuwajue kwanza kwa majina huenda hawana hata senti tano kwa sasa.kama ni mafisadi tuwajue.
 
Baraza la Madiwani wa Jiji la DSM wamesema mawakala wa kutoza Ushuru wametafuna Jumla ya tsh bilioni 10 walizokusanya

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa mh Makalla amewapa siku 60 wawe wamezirejesha vinginevyo atawaburuza mahakamani

Chanzo: ITV habari
Yule kahaba aliye sema yeye ana sema kwa karamu yupo wapi?
 
Back
Top Bottom