Mawakili 18 waomba kusimamia kesi ya Mpina kuwashitaki Bashe na Spika wa Bunge

Mawakili 18 waomba kusimamia kesi ya Mpina kuwashitaki Bashe na Spika wa Bunge

Kuna msomi uchwara huwa anaamini kuwa muhimili wake wa Dola ndio unamanguvu zaidi nchi hii
 
Eti ile Kampuni ya stationery ilikuwa na leseni ya kuagiza sukari. Jamani ?
 
Hiyo kesi haita-serve practical purposes, its just a mere academic exercise. Kesi za hovyo kama hizi ndio zinafanya mahakama ionekane ina kesi nyiingi, kumbe asilimia kubwa ni takataka
daaaaah kumbe wewe kidevu ndo hua unaandika haya
 
Mkuu undungu sio kufanana bali kusaidiana , leta maneno mkuu, nami nionje pesa ya Bandari tafadhali
nesa na kukomaa na biti za mikwara ya hao wanasiasa mawakili wa mpina,

nakuhakikishia utatoboa kua mzushi :pedroP:
 
Back
Top Bottom