Dpp anawazoom tu. Ataifuta kabla hata hajaiona
I agree 100% Rumanyika naye?Kama hakuna Kibatala, John Mallya na D. Matata basi hapo hakuna Mawakili.
Kabisa....Hiyo kesi haiendi popoe mahakama itasema haina mamlaka ya kuingilia maamuzi ya muhimili wa bunge
Pascal atapendeza kama atakuwa upande wa serikali maana ni wakili mjasiliamaliWakili msomi Pascal Mayalla nenda kaongeze nguvu
😆😆😆Dpp anawazoom tu. Ataifuta kabla hata hajaiona
Kimeumana
Nilikua nawaza hivihivi mkuuDpp anawazoom tu. Ataifuta kabla hata hajaiona
ni mawakili au wanasiasa wamaotaka kujulikana tu?
Mkuu unalipwa sh ngapi ccm nataka kuamia huko kama Msigwa ,vyuma vimekaza,nipe jibu liveni mawakili au wanasiasa wamaotaka kujulikana tu?
kwamba mahakama itababika na kupoteza muda na uzushi na siasa nyepesi namna hiyo, kweli?
Mkuu unanicheka tena ,leta maneno liveMkuu unalipwa sh ngapi ccm nataka kuamia huko kama Msigwa ,vyuma vimekaza,nipe jibu live
naona hamna kitu sasa hapo,Mkuu unalipwa sh ngapi ccm nataka kuamia huko kama Msigwa ,vyuma vimekaza,nipe jibu live
Mkuu undungu sio kufanana bali kusaidiana , leta maneno mkuu, nami nionje pesa ya Bandari tafadhalinaona hamna kitu sasa hapo,
just self promotions tu za kujiandaa kuingia kwenye siasa
daaaaah kumbe wewe kidevu ndo hua unaandika hayaHiyo kesi haita-serve practical purposes, its just a mere academic exercise. Kesi za hovyo kama hizi ndio zinafanya mahakama ionekane ina kesi nyiingi, kumbe asilimia kubwa ni takataka
nesa na kukomaa na biti za mikwara ya hao wanasiasa mawakili wa mpina,Mkuu undungu sio kufanana bali kusaidiana , leta maneno mkuu, nami nionje pesa ya Bandari tafadhali
Mkuu mimi nasema alafu wanicheka sawa nduguMkuu undungu sio kufanana bali kusaidiana , leta maneno mkuu, nami nionje pesa ya Bandari tafadhali