Mawakili 18 waomba kusimamia kesi ya Mpina kuwashitaki Bashe na Spika wa Bunge

Kuna msomi uchwara huwa anaamini kuwa muhimili wake wa Dola ndio unamanguvu zaidi nchi hii
 
Eti ile Kampuni ya stationery ilikuwa na leseni ya kuagiza sukari. Jamani ?
 
ni mawakili au wanasiasa wamaotaka kujulikana tu?

kwamba mahakama itababika na kupoteza muda na uzushi na siasa nyepesi namna hiyo, kweli?
Mkuu unalipwa sh ngapi ccm nataka kuamia huko kama Msigwa ,vyuma vimekaza,nipe jibu live
 
Hiyo kesi haita-serve practical purposes, its just a mere academic exercise. Kesi za hovyo kama hizi ndio zinafanya mahakama ionekane ina kesi nyiingi, kumbe asilimia kubwa ni takataka
daaaaah kumbe wewe kidevu ndo hua unaandika haya
 
Mkuu undungu sio kufanana bali kusaidiana , leta maneno mkuu, nami nionje pesa ya Bandari tafadhali
nesa na kukomaa na biti za mikwara ya hao wanasiasa mawakili wa mpina,

nakuhakikishia utatoboa kua mzushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…