M Mkwe21 JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 3,406 Reaction score 3,013 Jul 13, 2024 #41 Nimeshangaa sana TLS kuhamia Dodoma, nimechoka sana Benjamini Netanyahu said: TLS wapo busy na asali ya Ikulu Click to expand...
Nimeshangaa sana TLS kuhamia Dodoma, nimechoka sana Benjamini Netanyahu said: TLS wapo busy na asali ya Ikulu Click to expand...
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Jul 13, 2024 #42 chiembe said: Hiyo kesi haita-serve practical purposes, its just a mere academic exercise. Kesi za hovyo kama hizi ndio zinafanya mahakama ionekane ina kesi nyiingi, kumbe asilimia kubwa ni takataka Click to expand... daha , umeandika ukweli kinagaubaga mpaka mawakili wenyewe itakua wanacheka wenyewe huko waliko kwamba umewastukia lengo lao, kumbe wako practical
chiembe said: Hiyo kesi haita-serve practical purposes, its just a mere academic exercise. Kesi za hovyo kama hizi ndio zinafanya mahakama ionekane ina kesi nyiingi, kumbe asilimia kubwa ni takataka Click to expand... daha , umeandika ukweli kinagaubaga mpaka mawakili wenyewe itakua wanacheka wenyewe huko waliko kwamba umewastukia lengo lao, kumbe wako practical
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 13, 2024 #43 Mkwe21 said: Nimeshangaa sana TLS kuhamia Dodoma, nimechoka sana Click to expand... Ile ni CCM tupu
Lukub JF-Expert Member Joined Feb 5, 2012 Posts 3,622 Reaction score 4,100 Jul 13, 2024 #44 Nehemia Kilave said: Kumekucha View attachment 3040984 Muwe na weekend njema Pia soma Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15 Click to expand... Kesi kama hii inaongeza kesi ambazo hazina tija mahakamani ,mahakama inakuwa busy kwa kesi za kumtafutia mtu umaarufu
Nehemia Kilave said: Kumekucha View attachment 3040984 Muwe na weekend njema Pia soma Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15 Click to expand... Kesi kama hii inaongeza kesi ambazo hazina tija mahakamani ,mahakama inakuwa busy kwa kesi za kumtafutia mtu umaarufu