HekimaniBusara
Member
- Mar 16, 2017
- 37
- 19
Kwa uelewa wangu, wananchi ndo kama mabosi wa serikali. TRA bila wananchi hawana mapato, Bandari bila wananchi hamna kazi, Mishahara ya serikali inategemea mapato toka kwa wananchi, bila uchaguzi rais asingekuwepo.
Swali langu ni hivi, kisheria hamna jinsi kama wananchi tunaweza tukawaajibisha wanaovunja sheria kwa utumiaji wa mamlaka hovyo.
Swali langu ni, is it possible to do a national 'boycott' of sort that can force the hand of people we clearly put in power to lead us and majukumu hayo wamefeli, legally of course.
Swali langu ni hivi, kisheria hamna jinsi kama wananchi tunaweza tukawaajibisha wanaovunja sheria kwa utumiaji wa mamlaka hovyo.
Swali langu ni, is it possible to do a national 'boycott' of sort that can force the hand of people we clearly put in power to lead us and majukumu hayo wamefeli, legally of course.