WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
- Thread starter
- #21
Uwakili wa leo ni kula na mafisadi tu, kuwa mwangalifu na yeyote anayejiita wakili kwani unamlipa fedha halafu mdaiwa wako naye anamlipa! hapo utakuwa umeliwa, sasa cha ajabu zaidi na kushangaza wakili anayefanya hivyo unakuta Rais anamchagua kuwa Jaji
Mmeona eehhh?
Kite umeshindwa kujificha kuwa ni wakili na kama sio,basi baba yako alikuwa wakili-ahaaah!
WomenofSubstanc kasema Ukweli mtupu. na ni vyema mkajua siku hizi TZ ukipata case kama ya zaidi ya 500M,ma advocate wanapishana mlangoni kuja kuomba kukutea na sio wewe kuwafuata?Na wanafanya upepelezi kwanza kujua kama umeiba kweli na bado unazo au umesingiziwa,wakiona hizo pesa huna basi wanajua you are not hotcake.Kite ninayo evidence-what next?Hivi mtu anashikwa na kiungo cha Albino anakwenda mahakamani kushinda case -hii inataka mtu kusomea sheria?Mafisadi kina Yona,Mramba etc baba zao hakuwahi hata kufanya biashara ya karanga leo hii wana pesa ambayo hata kama tangu waanze kazi jumlisha posho zao,mishahara yao yote,bila kutumia hata senti 5,hazifiki na wanazitangaza hadharani? Mimi siku nchi hii ikiwa ya sheria mkononi sitoshangaa!Maana vitabu vya sheria havifanyi kazi!
Hapo sasa! Je hii ndio noble profession? Katika moja ya maswali waliyokuwa wanauliza panel ya kutahini wakili watarajiwa ilikuwa hili.."Endapo mteja wako ataungama kwako na kusema ni kweli katenda kosa ila anataka umtetee utafanya nini"Jibu sahihi lilikuwa ( sijui kama ni sahihi sic!) unatikiwa utunze siri ya mteja lakini wakati huohuo uhakikishe haki inatendeka.Hivyo unamshauri akubali umsaidie kufanya mitigation ili apate adhabu ndogo kwani amejifunza na kuona vibaya kuwa kakosa.Hii inategemea hasa lwenye ksei z mauaji.Siku hizi nadhani mambo yamegeuka. Ieleweke kazi ya wakili siyo kusaidia kuimarisha uhalifu bali ni kuhakikisha haki inatendeka kwa mshtakiwa kuwakilishwa kisheria.
Mimi nafikiri kuna haja ya serkali kuanzisha sheria na kanuni mpya kuhusiana na masuala ya 'malpractice' ya hawa mawakili. Mfano mzuri ni hapa Marekani wakili inabidi akate insurance kujilinda kabisa kama akichemka anaweza kushtakiwa na kutakiwa kulipa mapesa mengi sana. Hili suala kwa sasa hipo haja kuwepo Tanzania ili kulinda haki za hasa wanyonge.
Shadow.
Sijui hili limefikia wapi..Shadow na wengine pls update us.
Ukisoma Report ya chama cha mawakili ya mwaka 2008 utaona kuwa huu mchakakto unaendelea. Kutakuwa na compulsory insurance soon. Ila kwa ufahamu tu makampuni mengi ya uwakili yameshachukua hizo insurance. (Sisi lawfirm yetu tunayo). Ila kama mtu anataka kupata legal services cheaply kutoka kwa cheap lawyer asitegemee kupata best of legal services standards. (Rules za economics haziruhusu).
What is cheap?..small fee?