Mawakili ni watetezi wa wanyonge au ni waporaji wa wanyonge?


Mmeona eehhh?


Hapo sasa! Je hii ndio noble profession? Katika moja ya maswali waliyokuwa wanauliza panel ya kutahini wakili watarajiwa ilikuwa hili.."Endapo mteja wako ataungama kwako na kusema ni kweli katenda kosa ila anataka umtetee utafanya nini"Jibu sahihi lilikuwa ( sijui kama ni sahihi sic!) unatikiwa utunze siri ya mteja lakini wakati huohuo uhakikishe haki inatendeka.Hivyo unamshauri akubali umsaidie kufanya mitigation ili apate adhabu ndogo kwani amejifunza na kuona vibaya kuwa kakosa.Hii inategemea hasa lwenye ksei z mauaji.Siku hizi nadhani mambo yamegeuka. Ieleweke kazi ya wakili siyo kusaidia kuimarisha uhalifu bali ni kuhakikisha haki inatendeka kwa mshtakiwa kuwakilishwa kisheria.


Sijui hili limefikia wapi..Shadow na wengine pls update us.


What is cheap?..small fee?
 
Chaumbeya,
Points noted.Ila ukweli bado utabakia palepale kuwa kadri siku zinavyoenda, heshima kwa mawakili na hata wanasheria inapungua kwa kasi ya ajabu.
Unayosema yapo na yatakuwepo ila hayaondoi ukweli.

Ripoti mbalimbali za hali ya rushwa na ufisadi nchini zinataja, pamoja na maeneo mengine kuwa sekta ya utoaji wa haki ie. mahakama,
polisi, and the related ni vinara wa rushwa na ufisadi kwa vile inaathiriwa sana na tatizo la kuporomoka kwa maadili 'moral decay'. Sababu ni debatable; lakini miongoni mwake ni kudorora kwa kiasi kikubwa kwa maadili ya uongozi, na taifa, fani ya uongozi wa kisiasa kugeuzwa kuwa ni ya kujitajirisha badala ya kujitolea, na kwa bahati mbaya taifa kuingizwa katika mtego wa kutoa marupurupu lukuki na yasiyolipishwa kodi kwa viongozi wa siasa, bila kuzingatia uwiano na maslahi ya watumishi wa umma na sekta binafsi. Kwa mazingira hayo kinachowasukuma watoa haki ambao ni pamoja na wanasheria wakiwemo mawakili wa kujitegemea, ni kutafuta mwanya wa kuwakamua kwa kadri inavyowezekana wateja wao, hata kama kwa kufanya hivyo hakumhakikishi mteja kuwa atapata the best of his services....wakili kula huku na kule si jambo geni hizi sasa ili kukidhi mahitaji ya ulafi wao....
 
Una-evidence yoyote ile juu ya swala hili?????

Ushahidi ni daily experience. Nadhani wewe haijakutokea ndio maana unaleta law technicalities kwenye realities of life.
Mfano: Rais anawateua majaji kwa mkupuo, wengine tunasoma kesi walizoziamua quite controversial judgements!!!!
UJAJU ni kama udaktari bingwa. Upungufu wa madakitari bingwa hauwezi kumfanya Medical assistant aende theatre kufanya open heart surgery. nadhani UJAJI ni rank moja na udaktari bingwa in terms of the requirement of high level of profesionalism maana kuna kusave rights za mtu ambazo zina-determin maisha yake hapa duniani sawa na daktari bingwa kusave maisha ya mgonjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…