Mawakili wanaosimamia kesi ya Mbowe wana uwezo mdogo

Sema mamlaka za taifa uwezo umevamiwa ungeeleweka, huo mwingine ni ule uzalendoaslahi. Na sii vinginevyo.
 

Kama hukumu imeshaamuliwa hata wakili awe Yesu Kristo ni kutwanga maji kwenye kinu:

Kesi ya Mbowe: Haki Haikuonekana Kutendeka

Yule jaji ni dhaifu kalazimika kutoka na neno la shukurani kwa uteuzi.

Ama kweli kakilinda kitumbua chake na familia yake kwa gharama ya washitakiwa.

Hiiiiii bagosha!
 
Kina kibatala bwana, wana kariri vjfungu vya PGO ili kuwababaisha polisi. Na polisi walivyokuwa makini kutokupoteza muda kwenye mambo irelevant wakawa wanajibu hatujui.

Sasa BAVICHA sababu ni akili ndogo wakawa wanashangilia JF na kutajataja PGO.

Lakini mwisho wa yote Kibatala and team chali!
 
Mbona kwa sabaya ulishangilia sana manka?
 
Ona hiiiii nayo
 
Kila mwenye akili timamu ameona kabisa rafu alizofanya Mh Rais yaani anampa ujaji mtu wakati akiwa anaendesha keao nyeti hasa baada ya kuona mzani umelala kwao na kila kitu kilikua wazi...kiufupi imefanyika hila ya wazi.
 
Kibatala hana uwezo kama tunavyoaminishwa ....
nadhani nimeshawhi kusema hivyo mara kadhaa

Kibatala is overated, Malya is a deer in the headlight

Madeleka, a former police officer and political prisoner, is a better lawyer by far and away

CHADEMA should enlist Peter Madeleka to head the defense team.
 
Wapingaji wa serikali tu ndio wangesifu kwa mapambio
Kiuhalisia mawakili wa serikali wanawaburuza akina kibatala
Mmh Lissu mmoja tuu alikuwa anawatoa jasho mpaka wakaamua aende kuzimu, tatizo likawa Mungu akawa hajalala...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…