Mawakili wanaowakilisha chadema katika kesi nyingi, wanamuwakilisha Mpina katika kesi dhidi ya wana CCM wenzake-ambao ni Bashe na Tulia

Mawakili wanaowakilisha chadema katika kesi nyingi, wanamuwakilisha Mpina katika kesi dhidi ya wana CCM wenzake-ambao ni Bashe na Tulia

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona chadema imejitolea kikosi cha mawakili wanaowawakilisha makada wake katika kesi nyingi, ili sasa wamuwakilishe Luhqga Mpina katika kesi zinazohusu mambo ya sukari, pia kesi inayohusu Mpina kufukuzwa Bungeni.

Haijafahamika kwa nini Mpina amechagua mawakili wenye mlengo na itikadi za chadema, akawaacha wasio na itikadi za siasa, au wale wa CCM
 
Naona chadema imejitolea kikosi cha mawakili wanaowawakilisha makada wake katika kesi nyingi, ili sasa wamuwakilishe Luhqga Mpina katika kesi zinazohusu mambo ya sukari, pia kesi inayohusu Mpina kufukuzwa Bungeni.

Haijafahamika kwa nini Mpina amechagua mawakili wenye mlengo na itikadi za chadema, akawaacha wasio na itikadi za siasa, au wale wa CCM
Kwasababu anajitayarisha 2025 kuwania Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA.
 
Mpina anajitambua lakin tulia kwakweli anapaswa atuombe msamaha watanganyika.
 
Mpina pandikizi jipya la CCM kwenda Chadema ili kuongeza kajoto ka uchaguzi ujao. Halafu Chadema watampokea na atakua mjumbe wa kamati kuu. Yaani hadi hapo kuna mtu anaamini eti Chadema ni chama cha kuitoa CCM madarakani
 
Back
Top Bottom