Mawakili wetu kuvizia 'technicalities'

Uwepo wa technicalities kwenye sheria ndio unaofanya ma layman washauriwe kuwahire mawakili. Vyenginevo,layman atatoka na hamna huku anaiyona kabisa haki yke.
 
hii fani ya wasanii yani mawakili wa bongo hawana tofauti na wasanii wa bongo
 
Mkuu umetiririka vizuri sana.
Hii fani bado inamapungufu sana,na chanzo ni weledi na tamaa.
Na ndio maana hata Madaktari kuna kila mmoja ana fani yake ndani ya fani kuu,au Mchezaji wa Mpira ni kwamba kila mchezaji ana position yake.
Ina kibongobongo,unakuta kila Wakili anafanya kazi zoote peke yake.Kuna Ofisi humu ukienda kuna Wakili Mmoja tu,na Secretary wake labda na trainee mmoja.Maana sijui hata sheria ya kufungua Ofisi kwa hawa Mawakili ina vigezo vipi
 
Po's ndio zinatufanya tutofautiane na layman of laws then kuna kitu kinaitwa general rule and exception to the general rule!!wakili mjanja huwa anacheza na haya maeneo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…