mtanashato
Member
- Jul 28, 2015
- 8
- 1
jehannam ndo wapi?
kwa sele muuza chips
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jehannam ndo wapi?
Jimena.......Hizi iman cy majin bongo tu....mbona cjawai kulion au yenyewe hayatki kuonekan!
.SALAAM | SHALOM.Natumai mu-wazima wote kwa jumla.
Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.
Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.
Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.
Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.
Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-MTU ANAYEPANDISHA.Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.
Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ?, siku yake ni ipi ?, anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?
Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.
Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.
Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.By :JINN'S FRIEND | JF.
Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
Ndio wapi huko ndugu...?.
Ndugu yangu,sijui imani yako ya dini,lakini kwa waislamu kisheria ni HARAMU kupashana habari baina ya wanadamu na majini.
Na ukiingia msikitini unapowasalimu na wale ndugu zetu wasioonekana ile salamu ni ya nani kama sio majini?
Au inaruhusiwa tu kuwasalimia lakini sio kupashana habari?
bado sijaona jinsi ya kumuita jini
Kama inavyofahamika kuwa mskiti ni nyumba ya ibada hivyo kuna MALAIKA NA HATA MAJINI ambao wote hao hawaonekani kwa macho ya kawaida, hivyo watu wanapoingia mskitini hutakiwa kusalimia dhidi ya viumbe hao wawili niliowataja hapo juu.
Sasa mtu anakuja anakwambia dini inakataza kuwasiliana nao, ingekataza watu wangeambiwa wawe wanasalimia kushoto na kulia?
Duuh!Thanks for confirming.Kama inavyofahamika kuwa mskiti ni nyumba ya ibada hivyo kuna MALAIKA NA HATA MAJINI ambao wote hao hawaonekani kwa macho ya kawaida, hivyo watu wanapoingia mskitini hutakiwa kusalimia dhidi ya viumbe hao wawili niliowataja hapo juu.
Sasa mkuu hapo si panaweza pakawas chanzo cha udanganyifu?Kama ulivyosema hakuna kitabu kilichokataza je kuna kitabu kilichoruhusu kwa uhakika?Tunahitaji kuziponya roho zetu na elimu ni nyingi.Unajua kuna baadhi ya vitu ambavyo vimekatazwa kwenye vitabu vyote na vimewekwa wazi kabisa ila suala la majini wengi wamekuwa wakibahatisha tu hakuna kitabu kilichokataza kwa hakika kabisa.
Duuh!Thanks for confirming.
Sasa mtu anakuja anakwambia dini inakataza kuwasiliana nao, ingekataza watu wangeambiwa wawe wanasalimia kushoto na kulia?
Nimekukamata,wewe kwenye ile post yetu ile ulisema hutaki kuamini unataka kuelewa ,lakini hapa unaonekana una amini kitu.Kuwa makini ndugu.Hapa naona unaamini uwepo wa viumbe visivyo onekana kwa macho na watu wanasalimia kushoto na kulia.