Mawasiliano na JINN: Njia rahisi kuliko zote za kuwasiliana na JINN na kumwambia chochote

Mawasiliano na JINN: Njia rahisi kuliko zote za kuwasiliana na JINN na kumwambia chochote

SALAAM | SHALOM,

Natumai mu-wazima wote kwa jumla.

Kama mada husika inavyojieleza hapo juu MAWASILIANO NA JINN ni mawasiliano yafanywayo kati ya BINADAM NA JINN. Sipo hapa kueleza JINN ni kiumbe wa aina gani kwa sababu imeshaelezwa hapo kabla na nilishaweka mada hapa jamvini isemayo Jinsi ya Kumwita Jini na Kumuamrisha Unavyotaka ila mada hii iliunganishwa na mada ya Mcheza Karate mods wanajua sababu ya kufanya hivyo, well.

Leo nawaletea mada na njia tofauti kabisa, narudia tena ni njia tofauti kabisa na ya ndugu yangu Mcheza Karate ikiwa ni NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOTAKA.

Nasema ni NJIA RAHISI kwa sababu hauhitaji mpaka iwe FULL MOON (MWEZI MPEVU), hauhitaji ipatikane PETE, KIOO, MISHUMAA, BAKULI wala LIPSTIC ya kuandika MUSCHNA wala VAMIR kwa ajili ya JINN WA KIKE au KIUME, haihitaji ufungue GETI/LANGO KUU lililopo baina ya ULIMWENGU WETU NA MAJINI wala haihitaji MUDA MAALUM, haihitaji useme SAL SAL, AKMASH & LASH a thousand times na ndio maana nikasema NJIA RAHISI KULIKO ZOTE ZA KUWASILIANA NA JINN NA KUMWAMBIA CHOCHOTE UNACHOKITAKA.

Kwanza kabisa nadhani baadhi yenu mtakuwa mnajua sehem ambazo MAJINI wanapenda kukaa, ukiacha BAHARINI, MAPANGONI/KWENYE MAJABALI, KWENYE MAJUMBA YASIYOKALIWA NA WATU, MAGOFU, MAPORINI/MISITUNI au hata VYOONI.

Lakini pia moja kati ya sehem inayopendwa sana kutumiwa na MAJINI kukaa ni kwenye MWILI WA BINADAM. YES, MWILI WA BINADAM hutumiwa pia na MAJINI kukaa humo wakikaa kwenye sehem zifuatazo ; MOYO, MISHIPA YA DAMU na hata MWILI MZIMA wana uwezo wa kwenda popote wakiwa ndani ya MWILI WA BINADAM ; Lakini hasa sehem nnayoongelea hapa ni KICHWANI, hii ni sehem KUU waipendayo kutumia kukaa viumbe hawa WAZURI wakiwa ndani ya MIILI YETU.NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA.

Baada ya kusoma hayo maelezo hapo juu sasa twende moja kwa moja kwenye NINI CHA KUFANYA | KINACHOHITAJIKA ili kuweza kuwasiliana na VIUMBE WAZURI hawa ;-

MTU ANAYEPANDISHA - Hapa nazungumzia mtu mwenye viumbe hawa KICHWANI ili uweze kuwasiliana nao, THAT'S THAT.

Labda utahitaji UDI au wengine hupandisha bila ya UDI na JINN atakuja utazungumza nae kwa USALAMA NA AMANI na wala sio kwa njia ya kuogopesha kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa umbo usilolipenda kama njia nyingine zitumiwazo, wala sio kwa SHARI na kutokujua atakuja vipi kama njia nyingine zitumiwazo.Mtaongea utakavyotaka na kumuuliza, kumwambia au kumuomba chochote kile ambacho utapenda kumueleza ; na kuanzia hapo ataweza kukueleza yee ni JINN GANI ?, ana uwezo gani ?, katokea wapi ?, rangi yake ipi ? Siku yake ni ipi ?, Anapenda nini labda ikiwa kama zawadi ?, Jinsi gani unaweza kufanya ili muwe marafiki ?

Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia AJE LIVE muonane au umfanyie/ufanye nini ili muweze kuonana au uweze kumuona. Kuanzia hapo ndipo utakapoweza kumwambia aje aidha usingizini/ndotoni au vile utakavyopenda wewe na mkakubaliana au akakueleza yeye jinsi anavyoweza, N.K.

Mtaweza kuongea mengi tu kutokea hapo kwa upendo na amani na kuweza kukubaliana au kutokubaliana ; mkikubaliana ni VYEMA na msipokubalia itakuwa imeishia hapo tu na ataendelea kubaki kwa mtu wake KITI nawe utaendelea tu na maisha yako kama kawaida, ikikumbukwa kuwa wapo JINNS wengi msipokubaliana unaweza ukawasiliana na JINNS wengine kupitia BINADAM MWENGINE na mambo yakaenda kama kawaida, tofauti na njia nyingine zitumiwazo za kumwita bila ya kujua utamrudisha vipi hasa kama sio mtaalam wa hawa viumbe.

Mtaweza kupiga story nyingi sana kuanzia hapo na kukueleza au kukufundisha mambo mengi tu ambayo hata uliyokuwa huyajui ; NA NDIVYO NNAVYOFANYA.

Where There is a Will There is a Way. Nawatakia Kila la Heri, THANKS.

By :JINN'S FRIEND | JF.

Cc LIKUD, Mcheza Karate, mshana jr, MziziMkavu, Rakims.
Huu ni kufundisha uchawi! Ivi kuna imani inayokubali majini ilihali ni product ya shetani!!ukitoka waelekeze na namna ya kutubu !!!,Kwanini usielekeze kuwaita Malaika wa Mungu!!sorry kwa kukuingilia kwenye uganga wako
 
Its Very Easy Way To Communicate With Them, Nilikuwa Nafikiria Kushusha Huu Uzi Lakini Sio Mbaya Vile Umeushuka Nilivyotegemea Ungeshuka... Nimeona Kuna Kiumbe Hapo Kaongea Kitu Anadai Kwa Nini Usimuombe Mungu Akupe Roho Zake Safi Zikuongoze... Kasahau Kuwa Wale Wanaojiita Manabii Na Wenye Visions Zingine Hutoka Kwa Majini? Kila Kitu Mwenyezi Mungu Kapanga Na Kumaliza, Sawa Na Barabara Mbili Rough Na Rami, Popote Upitapo Anajua Mwisho Wako, Swali Ni Je? Utapita Rough Road Ukiwa Unakimbia Au Unatembea? Je Utapita Rami Ukikimbia Huku Ukiwa Makini Au Utaenda Roughly Safari Yako Iharibike? All In All Je Utafika Salama??

Nashangaa Kuona Padre Anakemea Mapepo Ya Wenzie Yake Mamichanga Anafuga Ndani!! Na Shehe Anakataza Wenzie Wasile Haramu Wakati Ndio Kitoweo Chake Cha Usiku,
Je, Utawatumia Hawa Majini Kutibu Au Kuuwa,?
Hilo Ndio Swali Tulioachiwa Hata Kwenye Vitabu Vya Dini.. Wherever You Go Choose A Way, Keep Left Or Right....

"Rakims"

Shukran sana.

Well, nadhani ni HISIA au MAONO yaliyoshabihiana baina baina na ndio maana labda kilichopo kwa akili yako ndicho kile labda ambacho nami nlikuwa nakifkiria akilini blood.

Nashkuru kama mawazo/maono yetu yalirandana vyema ila nakiri kusema kuwa ni wachache sana wenye kuweza kubainisha bayana juu ya jambo fulani.

Kama ulivyosema kuwa kuna mtu hapo juu alisema kuwa huwa wanaomba roho zilizo safi ziwaongoze wakitegemea viongozi wao wa DINI ndio roho zilizo safi wakati kiuhalisia hao hao viongozi wao wa DINI hutumia hizi sayansi kwa minaajili kadha wa kadha kufanikisha mambo mengi sana pasina wao kujua iwalo lote lile.

Ni rafiki yako wa karibu sana darasani atakayeweza kukupa jibu sahihi utakapomuuliza swali kwenye mtihani. Laa sivyo hakuna mtu anapenda kuona eti unafanikiwa na akakupa njia za kufanikiwa ; ni wachache sana wenye nyoyo kama hii.

Kiongozi wa DINI hataweza kuwaonesha wafuasi njia wanazopita wao na kuwafumbua macho wafuasi wao kwa kuogopa wafuasi wanaweza kuwa na nguvu kama/au kuwazidi wao na mwisho wake wakishajua hizo njia hawataweza tena kurudi kwa viongozi wao kutatua matatizo yao kama wanavyoenda siju zote, hivyo kuogopa kupoteza wateja kwenye biashara zao za kila siku wanazofanya madhabahuni.

Msalimie Sana Bibi Yangu.

Have a Lovely Day.
 
Hebu liambie hilo jini liiambie sirikali ya ccm impe maalim seif nchi yake ya Zanzibar tuone
 
Hebu liambie hilo jini liiambie sirikali ya ccm impe maalim seif nchi yake ya Zanzibar tuone

Majini wana viongozi wao, na pia wanatakiwa kuwatii sio kila jambo wataweza kulifanya kwa urahisi kama unavyofkiria ndugu. Kila unachotaka wakufanyie nawe unawaambia kuwa utawafanyia nini kama offer yao, sasa inapotokea unapompa kazi ambayo ni kubwa na hawezi kuifanya itamlazimu nae atake kitu kikubwa kutoka kwako ambapo kinaweza kuwa kitu chochote kikubwa kutokana na uzito wa kazi uliyompa labda akashindwa kuifanya, hivyo huitoa kwa wenzake ambao huenda wakawa ni wakubwa zaidi yake wakamuahidi kuifanya lakini kwa ahadi ya kuwapa na wao wakitakacho kama zawadi yao ndugu yangu.

Karibu sana.
 
ndugu me napingana na wewe kabisa kuwa jini ni kiumbe mzuri,kwanza kwa nini amuingie mtu bila ridhaa yaake??pili huyo kiti akitaka kumtoa huyo jini lazima itumike nguvu sana maana linakuwa linakataa kutoka,kwa upande wako ni zuri,cause kuna faida unayopata kutokana na hayo madude,ila asilimia kubwa wanateseka nayo,alafu tofautisha majini na roho mtakatifu,majini hutoka kwa shetani,na roho mtakatifu hutoka kwa mungu..
ibilisi ni muovu always...
 
[emoji445] [emoji444] [emoji445] Kumtegemea Mungu kunalipa....kumtegemea Mungu kunalipa.......[emoji445] [emoji444]

Wimbo mzuri huu[emoji332] [emoji331] [emoji330]
 
ndugu me napingana na wewe kabisa kuwa jini ni kiumbe mzuri

Ni sawa mkuu kama unapingana na mimi sitakatai coz kila mtu ana mtazamo na muono wake juu ya kila anachokitazama ndugu yangu. Kama unavyosema kuwa unapingana na mimi kuwa JINN ni kiumbe mzuri naomba nikuulize swali, vipi kuhusu BINADAM NI KIUMBE MZURI au ni kiumbe mbaya au kuna wengine ni wazuri na wengine ni wabaya naomba uniambie ni kwa nini...?.

kwanza kwa nini amuingie mtu bila ridhaa yaake??

Hivi, kwa fikra na upeo wako wa kufkiri unadhani hakuna BINADAM wanaowaingia / wanaowaingilia watu bila ya ridhaa yao, wapo au hawapo, naomba unijibu...?.

pili huyo kiti akitaka kumtoa huyo jini lazima itumike nguvu sana maana linakuwa linakataa kutoka,

Hapa sjajua unamaanisha nini au umeona/umeskia wapi mi sijui ila unadhani kwa upeo ulionao JINN humuingia mtu kwa njia gani au ngapi...?.

kwa upande wako ni zuri,cause kuna faida unayopata kutokana na hayo madude,

Unaweza kuwa na ushahidi juu ya hili, pia naomba nikuulize hapa hivi unakunywa pombe, sigara au bhangi, kuwa muwazi tu juu ya hili coz kuna kitu nataka nikueleweshe ila tu kama utataka kuelewa.

ila asilimia kubwa wanateseka nayo,

Una uhakika gani mpaka unasema hivyo kwa kuskia story za vijiweni au kwa ushuhuda ulionao...?.

alafu tofautisha majini na roho mtakatifu,majini hutoka kwa shetani,na roho mtakatifu hutoka kwa mungu..

Una uhakika kuwa JINNS hawatoki kwa MUNGU na hutoka kwa shetani kivipi kwa sababu naomba nikuulize hapa, MAJINI NI VIUMBE AU SIO VIUMBE...?, kama ni viumbe je, shetani na MUNGU nani mwenye uwezo wa kuumba kiumbe...?, kama ni MUNGU ndo mwenye uwezo wa kuumba kiumbe iweje useme MAJINI hutoka kwa shetani ilhali hana uwezo wa kuumba...?.

ibilisi ni muovu always...

Kwa mtazamo na upeo wa fikra zako unadhani Ibilis ni nani...?.

KARIBUNI SANA.
 
[emoji445] [emoji444] [emoji445] Kumtegemea Mungu kunalipa....kumtegemea Mungu kunalipa.......[emoji445] [emoji444]

Wimbo mzuri huu[emoji332] [emoji331] [emoji330]
Sawa kumtegemea MUNGU kunalipa lakini wee unafanya kazi au unasoma...?. Kama unafanya kazi natumau unamtegemea boss wako akulipe pesa ili uishi, kwa nini usiache tu kazi ukamtegemea MUNGU kwa sababu kumtegemea MUNGU kunalipa ni wimbo mzuri huu jee, unautekeleza kwa vitendo...?. Ulipokuwa mdogo ulitegemea wazazi wakufanyie mambo mengi kwa nini usingeachana nao ukamtegemea tu MUNGU unategemea nini/nani kupata mambo yako...?, kama una rafiki labda, ambaye ana uwezo wa kifedha/elimu/madaraka n.k akakuahidi jambo zuri ifikapo siku fulani si utakaa ukitegemea siku fulani rafiki yangu ameniahidi atanipa jambo zuri au utaachana nae tu na kumtegemea MUNGU PEKEE...?. Kwa sababu kumtegemea MUNGU kunalipa ni wimbo mzuri huu je, hakuna mtu wako wa karibu aidha ndugu au rafiki peke yao ambao unawategemea kwenye mambo yako ukiacha MUNGU...?.

Hebu jaribu kuwa muwazi juu ya hayo maswali ili niweze kukuelewesha uzuri ndugu.

KARIBUNI SANA.
 
Huu ni kufundisha uchawi!

Naweza nikakuuliza swali moja tu na ukababaika na usiwe na jibu la kujibu wakati kwa fikra zako ukahisi kuwa eti ulichokiandika unakifaham, naomba kukuuliza kwa kile ulichokisema kuwa huku ni kufundisha uchawi, naomba unipe tafsiri ya uchawi ; UCHAWI NI NINI...?.

Ivi kuna imani inayokubali majini ilihali ni product ya shetani

Hivi unajua ukisemacho au unaandika tu kufurahisha nafsi yako na wengine wanaofanana na wewe...?.

ukitoka waelekeze na namna ya kutubu

Mi nafkiri kama unaweza ungefanya hivyo coz siku zote WAJENZI HURU huwa na mgawanyo wa kazi zao hivyo si vibaya ukawaelekeza namna ya kutubu kwa sababu sijaona kosa walilofanya linalopaswa kutubiwa kama wee umeliona itakuwaje usiwaelekeze wewe uliyeliona kosa hilo kama wee huhitaji kutubu kwa kuwa ni msafi basi waelekeze wengine unaowaona ni wachafu ndugu.

Kwanini usielekeze kuwaita Malaika wa Mungu!!

Unajua, kila mtu na elimu au kipaji ambacho anacho na sidhani kama kazi ya mmoja yaweza kufanywa na mwengine na sjui kwa nini ikatokea mtu aliyetakiwa kupasuliwa kichwa akapasuliwa mguu na wa mguu akapasuliwa kichwa...?, kwa kuwa mimi najua jinsi ya kuwaelekeza namna ya kuwaita hawa viumbe, basi si vibaya wee mjuzi wa kuwaita MALAIKA ukawaelekeza watu kuwaita MALAIKA ili wawaone na wazungumze nao kama unavyosadiki ewe mwana wa kusadikika hujakatazwa kuwafundisha watu jinsi ya kuwaita hao MALAIKA fanya hivyo tuone kama unaweza au kama unayo ile kweli iliyojificha hebu iweke bayana tuone kama ni kweli.

sorry kwa kukuingilia kwenye uganga wako

Nadhani utakuwa umejiingilia mwenyewe pasina kujua kuwa umejiingilia wala usipate tabu ya kusema sorry. Huna kosa ulilotenda ndugu kwani kuna kosa lolote ulilolitenda mpaka useme sorry...?.

KARIBUNI SANA.
 
Naweza nikakuuliza swali moja tu na ukababaika na usiwe na jibu la kujibu wakati kwa fikra zako ukahisi kuwa eti ulichokiandika unakifaham, naomba kukuuliza kwa kile ulichokisema kuwa huku ni kufundisha uchawi, naomba unipe tafsiri ya uchawi ; UCHAWI NI NINI...?.



Hivi unajua ukisemacho au unaandika tu kufurahisha nafsi yako na wengine wanaofanana na wewe...?.



Mi nafkiri kama unaweza ungefanya hivyo coz siku zote WAJENZI HURU huwa na mgawanyo wa kazi zao hivyo si vibaya ukawaelekeza namna ya kutubu kwa sababu sijaona kosa walilofanya linalopaswa kutubiwa kama wee umeliona itakuwaje usiwaelekeze wewe uliyeliona kosa hilo kama wee huhitaji kutubu kwa kuwa ni msafi basi waelekeze wengine unaowaona ni wachafu ndugu.



Unajua, kila mtu na elimu au kipaji ambacho anacho na sidhani kama kazi ya mmoja yaweza kufanywa na mwengine na sjui kwa nini ikatokea mtu aliyetakiwa kupasuliwa kichwa akapasuliwa mguu na wa mguu akapasuliwa kichwa...?, kwa kuwa mimi najua jinsi ya kuwaelekeza namna ya kuwaita hawa viumbe, basi si vibaya wee mjuzi wa kuwaita MALAIKA ukawaelekeza watu kuwaita MALAIKA ili wawaone na wazungumze nao kama unavyosadiki ewe mwana wa kusadikika hujakatazwa kuwafundisha watu jinsi ya kuwaita hao MALAIKA fanya hivyo tuone kama unaweza au kama unayo ile kweli iliyojificha hebu iweke bayana tuone kama ni kweli.



Nadhani utakuwa umejiingilia mwenyewe pasina kujua kuwa umejiingilia wala usipate tabu ya kusema sorry. Huna kosa ulilotenda ndugu kwani kuna kosa lolote ulilolitenda mpaka useme sorry...?.

KARIBUNI SANA.
Mganga wa jadi at work
 
Naweza nikakuuliza swali moja tu na ukababaika na usiwe na jibu la kujibu wakati kwa fikra zako ukahisi kuwa eti ulichokiandika unakifaham, naomba kukuuliza kwa kile ulichokisema kuwa huku ni kufundisha uchawi, naomba unipe tafsiri ya uchawi ; UCHAWI NI NINI...?.



Hivi unajua ukisemacho au unaandika tu kufurahisha nafsi yako na wengine wanaofanana na wewe...?.



Mi nafkiri kama unaweza ungefanya hivyo coz siku zote WAJENZI HURU huwa na mgawanyo wa kazi zao hivyo si vibaya ukawaelekeza namna ya kutubu kwa sababu sijaona kosa walilofanya linalopaswa kutubiwa kama wee umeliona itakuwaje usiwaelekeze wewe uliyeliona kosa hilo kama wee huhitaji kutubu kwa kuwa ni msafi basi waelekeze wengine unaowaona ni wachafu ndugu.



Unajua, kila mtu na elimu au kipaji ambacho anacho na sidhani kama kazi ya mmoja yaweza kufanywa na mwengine na sjui kwa nini ikatokea mtu aliyetakiwa kupasuliwa kichwa akapasuliwa mguu na wa mguu akapasuliwa kichwa...?, kwa kuwa mimi najua jinsi ya kuwaelekeza namna ya kuwaita hawa viumbe, basi si vibaya wee mjuzi wa kuwaita MALAIKA ukawaelekeza watu kuwaita MALAIKA ili wawaone na wazungumze nao kama unavyosadiki ewe mwana wa kusadikika hujakatazwa kuwafundisha watu jinsi ya kuwaita hao MALAIKA fanya hivyo tuone kama unaweza au kama unayo ile kweli iliyojificha hebu iweke bayana tuone kama ni kweli.



Nadhani utakuwa umejiingilia mwenyewe pasina kujua kuwa umejiingilia wala usipate tabu ya kusema sorry. Huna kosa ulilotenda ndugu kwani kuna kosa lolote ulilolitenda mpaka useme sorry...?.

KARIBUNI SANA.
Kama wewe unaabudu majini na Mungu saa s uchague moja!! Kwa sababu shetani na majini ,Mungu na Malaika!!
 
Kama wewe unaabudu majini na Mungu saa s uchague moja!! Kwa sababu shetani na majini ,Mungu na Malaika!!

Ndugu, huwa sibishani kwa ushabiki napenda mtu anayetaka kujifunza jambo nitamuelewesha lakini sio hivi unavyotaka kufanya ili mradi tu uchafue hali ya hewa siko kwa ajili hiyo ndugu.

Nimeuliza maswali hapo juu hakuna hata moja lililojibiwa halaf unaleta hoja zisizo na mashiko mi sipo hapa kwa ubishani ndugu nipo hapa kwa wanaotaka kujua na kujifunza mambo wasiyoyajua kama wee unajua kila kitu pita hivi...!.

Wee una IMANI yako basi baki na IMANI yako na wengine wana IMANI zao basi waache na IMANI zao pia ya nini kushughulika na kitu kisichokuhusu, endelea na IMANI yako kwani kuna mtu aliyekuingilia katika IMANI yako ndugu yangu, kwa nini huwa mnapenda chokochoko kiasi hiki BINADAM...?.
 
unajua ubishi mwingine hauna maana,ninahakika kabisa unajua nini zuri na nini baya,nimeshuhudia sana watu wakitesseka na hayo madude unayo yatukuza,najua wewe ndani yako unalo na lina faida kwako ndo mana unayasifia na kuyatetea ilihali ukijua ni mabaya
 
unajua ubishi mwingine hauna maana,ninahakika kabisa unajua nini zuri na nini baya,nimeshuhudia sana watu wakitesseka na hayo madude unayo yatukuza,najua wewe ndani yako unalo na lina faida kwako ndo mana unayasifia na kuyatetea ilihali ukijua ni mabaya

Kilicho kibaya kwako si kwa kila mtu kitakuwa kibaya ndugu.
 
sawa mkuu haina shida ya kubishana,vipi unaouwezo wa kumsaidia mtu aliyye na hayo madude yamtoke??
 
Sasa mbona hujaeleza hiyo njia rahisi ya kuwaita majini? Wengine tunapenda kutafiti kila kitu
 
Back
Top Bottom