Mawasiliano ni kitu muhimu kwenye penzi. Achana na mpenzi asiyekutafuta!

Mawasiliano ni kitu muhimu kwenye penzi. Achana na mpenzi asiyekutafuta!

Hakuna kitu sipendi Kama mtu kunipigia sm au sms na awe Mwanamke sipendi Kabisa habari za kijinga
 
Sikumbuki lini.
Siku hizi naonaga uzito kishenzi kumtumia message kila mara.

Sijui kwa vile alinikubaliaga bila usumbufu.

Nakumbuka last year wakati ndio namtongoza... Daaah... Tulikua tunaenjoy sana mahusiano.
Maskini Dada wa watu ...anadate na boga
 
Binafsi napenda kuchati na kuongea sana na simu zaman nilikuwa na hiyo imani kwamba mtu anayekupenda atakuwa anataka kuwasiliana na wewe mara Kwa mara kumbe huyo ni mimi na sio lazma wote tuwe hivo

Nna jamaa yangu alishawahi kuniambia "Mi huyu dem ntamuacha yani mimi Kila siku usiku niwaze topic ya kumchatisha, mishe zangu zenyewe tu hazinifikirishi hivo" hii statement ndio nikajua watu tunatofautiana wakati wengine tunaflow tu na tunapenda

Tunatofautiana mkuu, wengine wanakupenda lakini in nature ni wavivu kuwasiliana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar
Ni hivi: Mdada ana mwanaume wake lakini kuna muda hamuelewi kwenye swala la mawasiliano, ni kweli kuna muda anakua busy na kazi na pia mtandao unasumbua kwahiyo mkaka huwa ana mtext mdada text like mambo, mzima? Uko wapi? Unafanya nn? YANI HAYUKO ROMANTIKI KABISA KWENYE TEXT.

Kwa story tu: Mkaka anampenda demu ila ni mtu wa busy na kazi sema demu hajiamini na anataka aambiwe nakupenda most of time vile vile anapenda COMMUNICATION IWE STORY LIKE WAKICHAT WAWE NA CONTENT tatizo liko kwa brother ana short sms na haziko romantik na kuna siku nyingine hawatafutani kabisa.
DEMU ANATAKA KUMUACHA MKAKA KIMYA KIMYA COS HAMUELEWI IN TERM OF COMMUNICATION.

SASA THREAD HII NATAKA KUJUA KWA JINSI GANI MWANAMKE/MWANAUME ANAWEZA KUACHA MAWASILIANO NA MPENZI WAKE. Au afanyeje awe busy asiwe ana muwaza mpenz wake?
Kuna pisi zingine virungu vingi, tunazikacha
 
Binafsi napenda kuchati na kuongea sana na simu zaman nilikuwa na hiyo imani kwamba mtu anayekupenda atakuwa anataka kuwasiliana na wewe mara Kwa mara kumbe huyo ni mimi na sio lazma wote tuwe hivo

Nna jamaa yangu alishawahi kuniambia "Mi huyu dem ntamuacha yani mimi Kila siku usiku niwaze topic ya kumchatisha, mishe zangu zenyewe tu hazinifikirishi hivo" hii statement ndio nikajua watu tunatofautiana wakati wengine tunaflow tu na tunapenda

Tunatofautiana mkuu, wengine wanakupenda lakini in nature ni wavivu kuwasiliana


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni Mimi.
Nampenda sana Ila sipendi mi call na sms kila wakati. Naboreka balaa
 
Tatzo lao hawa viumbe ukimtext text kila saa unajiandalia Msalaba wa kuombwa ombwa hela.

Mbili, Mie ktk kitengo cha kuchat bila Content maalum ni upunguani mwisho wa siku muanze kuchat umbea na uongo usio na faida.
 
Mapenzi ni mawasiliano, ukiona hakuna chatting wew na mpenzi wako au kupigiana simu ujue penzi limekufa. Kwangu Mimi hata iweje asubuhi nikiamka kwenda mishe ikifika saa mbili tu au tatu asbh lazima nimchek wife km kaamka na kanywa chai mchana pia na ucku nikikaribia kurud lazima nimchek,km naenda safar cwez fika nilale bila kujua hali ya nyumbn na usbh nikiamka before cjafany chochot lazim nimjulie wife hali

Mapenzi meng mwanzon communication inakua high sana lkn km mwanaume alikua anatak ngono tu kwako lzma atapotea na hatakuchatish Wala kukupgia cm teena
 
Like wewe unaonaje like kwenye communication. Like wewe ni ME ama KE au like upinde wa mvua
 
Tuwe tunawasiliana muda mwingi kwani Hana shughuli zingine za kufanya?

Sipendi mahusiano ya kuwasiliana hovyo hovyo bila sababu za msingi.

Nachoka, nakinai, naona kero.
 
Back
Top Bottom