Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
- Thread starter
-
- #41
Labda hujawahi kupendwa ku experience loveTuwe tunawasiliana muda mwingi kwani Hana shughuli zingine za kufanya?
Sipendi mahusiano ya kuwasiliana hovyo hovyo bila sababu za msingi.
Nachoka, nakinai, naona kero.
Kuwa makini hali za maisha zinawafanya wanaume wengi kupata ukakasi katika mahusiano na wengine uwa na soni kujibu sms kwakuwa hali siyo shwali kwao naandika hivi kwa kuwa wewe mwenyewe umeona kuwa ni kweli jamaa anapenda sasa ushauri tafuta muda ukae nae na udadisi ni jambo gani lililopo kabla kufanya maamuzi ambayo utayajutia baadaeNjia za kumsahau mpeNzi msisahau kusuggest jamqni
Hii mbinu yakivita naitumiaga SanaUkiona unakaribia kumpenda mtu rudisha majeshi nyuma kata mawasiliano kidogo nayeye. Jitahidi jitahidi
Njia kuu ni kuukubali ukweli kwamba hamuwezi kuwa pamoja kama mlivyokuwa mwanzo ila inauma.Njia za kumsahau mpeNzi msisahau kusuggest jamqni
mawasiliano mengine hatali, kila mkiwasiliana na invoice inafatiaHabari,
Ni hivi, mdada ana mwanaume wake lakini kuna muda hamuelewi kwenye swala la mawasiliano, ni kweli kuna muda anakua busy na kazi na pia mtandao unasumbua kwahiyo mkaka huwa ana mtext mdada text like mambo, mzima? Uko wapi? Unafanya nn? Yani hayuko romantiki kabisa kwenye text.
Kwa story tu: mkaka anampenda demu ila ni mtu wa busy na kazi sema demu hajiamini na anataka aambiwe nakupenda most of time, vile vile anapenda communication iwe story like wakichat wawe na content. Tatizo liko kwa brother ana short sms na haziko romantik na kuna siku nyingine hawatafutani kabisa.
Demu anataka kumuacha mkaka kimya kimya cos hamuelewi in term of communication.
Sasa thread hii nataka kujua kwa jinsi gani mwanamke/mwanaume anaweza kuacha mawasiliano na mpenzi wake. au afanyeje awe busy asiwe ana muwaza mpenz wake?
Hicho baba hicho tuu.mawasiliano mengine hatali, kila mkiwasiliana na invoice inafatia
mawasiliano mengine hatali, kila mkiwasiliana na invoice inafatia
Mkuu thatβs the area of my expertiseβ¦ ila nachelea u wonβt follow through hata nikikwambia cha kufanyaHabari,
Ni hivi, mdada ana mwanaume wake lakini kuna muda hamuelewi kwenye swala la mawasiliano, ni kweli kuna muda anakua busy na kazi na pia mtandao unasumbua kwahiyo mkaka huwa ana mtext mdada text like mambo, mzima? Uko wapi? Unafanya nn? Yani hayuko romantiki kabisa kwenye text.
Kwa story tu: mkaka anampenda demu ila ni mtu wa busy na kazi sema demu hajiamini na anataka aambiwe nakupenda most of time, vile vile anapenda communication iwe story like wakichat wawe na content. Tatizo liko kwa brother ana short sms na haziko romantik na kuna siku nyingine hawatafutani kabisa.
Demu anataka kumuacha mkaka kimya kimya cos hamuelewi in term of communication.
Sasa thread hii nataka kujua kwa jinsi gani mwanamke/mwanaume anaweza kuacha mawasiliano na mpenzi wake. au afanyeje awe busy asiwe ana muwaza mpenz wake?
π π π mbona tunawapa sana, shida wengine wanafanya kama kukomoa yani.. kwakuwa tunawapenda tunawatupa kisomi tuu.. bila hivyo unafiriska mshahara wote wa kinjibai utahongaMuache ubahili muwape wenyewe kama hampendi kuombwa
πππ sawa tatizi hamtulii na mmojaπ π π mbona tunawapa sana, shida wengine wanafanya kama kukomoa yani.. kwakuwa tunawapenda tunawatupa kisomi tuu.. bila hivyo unafiriska mshahara wote wa kinjibai utahonga
mmoja tugundue nini π π π π .. ukarimu tofauti, kuna ambao tunapenda kukaa nao unakuwa kama upepo peponi, wapo tunao pembana kutoka nao out show off, wapo kwa ajiri ya game za kimataifaaa haiwezekani kuwa na mmojaπππ sawa tatizi hamtulii na mmoja