mawasiliano

mawasiliano

strit boy

Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
87
Reaction score
4
Wana jf,leo nimekumbwa na mkasa,ni hivi nikiwa chumbani na mke wangu sim yake ikaita kwa bahati nzuri nilikuwa karibu nayo namba yenyewe imeandikwa my smile nilipo muuliza akaniambie eti ni rariki yake anaitwa mariam nilipotaka kumpigia akanipora sim na kudelete hakuishia hapo na line ameikata kata na kuitupa mbali vipande vipande jamani kuna nini hapa si kuibiwa huku
 
tembeza fwimbo hapo kionzi!!!!!!!!!atasema tu ukweli!!
 
Kichapo muhimu, ndoa zimedharauliwa sana siku hizi
 
ama kweli,mbona hilo sio la kuuliza,kwani jibu lipo wazi,huyo mke wako,anae mtu kaona issue itajulikana kaamua kupoteza ushahidi.muelimishe mke wako.saa nyengine ku cheat ni kuwa na mapungufu ndani ya ndoa yenu,jaribu mkae na msuluhishe hayo mapungufu yenu{mmh my smile}
 
SUTUKAAAAAAAA... Unaibiwa ndugu..
 
kama ni maabara, technician kala sampo
kama ni police post, polisi kala ushahidi.
 
ah wala usijali mwanawane...hapo wewe ndio umepata free pass ya kuchakachua vimada upendavyo....i suggest u celebrate ur independence day kaka
 
hilo mbona ni jinalangu! Usihofu kama ndio huyu anaye niganda sana, nitakutuzia kiaina. Ha ha ha ha, jifanye mpelelezi sikuojoa aga safari then zunguka umtail siku nzima. Kama vp nikupe bugs za kwenye simu urecord mazungumzo ya siku nzima.
 
ama kweli,mbona hilo sio la kuuliza,kwani jibu lipo wazi,huyo mke wako,anae mtu kaona issue itajulikana kaamua kupoteza ushahidi.muelimishe mke wako.saa nyengine ku cheat ni kuwa na mapungufu ndani ya ndoa yenu,jaribu mkae na msuluhishe hayo mapungufu yenu{mmh my smile}

Umenena aisee @ kisukari

...ukisema umtafute huyo mume mwenza utapoteza nguvu na muda,ni bora mkae chini kwa upendo na mjue mapungufu yakowapi..hata my smile atatoweka.
 
hilo mbona ni jinalangu! Usihofu kama ndio huyu anaye niganda sana, nitakutuzia kiaina. Ha ha ha ha, jifanye mpelelezi sikuojoa aga safari then zunguka umtail siku nzima. Kama vp nikupe bugs za kwenye simu urecord mazungumzo ya siku nzima.

makota yako
 
My smile ndio nik name ya mumemwenzio! Pole mkuu!
 
labda ni Smile wa humu JF!ok,acha upole,kuna sredi humu ilijadili suala la upole,ke wanataka me tuwe wakali sometimes
 
Back
Top Bottom