Kweli we kilaza ndugu yangu.Nakuelewa. Halafu bado hakuna evidence kwamba hayo madini ni ya Tanzania. Natamani wanaotuhumu waonyeshe kwa ushahidi kama hayo madini ni ya Tanzania. Vinginevyo hii siyo tu inachafua waziri bali nchi. πππ
Hawa watu tunapojadili mambo ya nchi wao wanaleta mambo binafsi. kisa ana urafiki na Januari au Biteko anampa koneksheni za biashara basi tayari ni mtu mzuri.Kweli we kilaza ndugu yangu.
Tanzanite sio ya Tanzania??
What kind of chawa are you??
Nimesema 'siyo kila madini" yanayokamatwa nje. Soma na kuelewa. Tanzanite inajulikana ni brand pekee ya Tanzania. Halafu watu wenye knowledge wanakuwa na busara. Onyesha knowledge.πππ.Kweli we kilaza ndugu yangu.
Tanzanite sio ya Tanzania??
What kind of chawa are you??
Yaani kwa wizara wanazoziongoza unabishaje mkuu?Angelina Mabula nae mtendaji mbovu?na Dotto Biseko nae mtendaji mbovu?
Tuache ukabila kama mtu anakosea tuwe wazi pasipo kumumunya maneno,kule Ngorongoro Wamasai waliohamishwa ni Wizara gani inahusika? Kule Mbalali au Bonde la Usangu kuna mgogoro unafurukuta ni Wizara gani inahusika?Hata kama wewe halikugusi moja kwa moja lakini kuna Watanzania wengine wanaumia kutokana na utendaji mbovu wa baadhi za Wizara zinazosimamiwa na Mawaziri walafi na wabinafsi wanaojali mambo yao binafsi.Angelina Mabula nae mtendaji mbovu?na Dotto Biseko nae mtendaji mbovu?
Hasa namba 2,3,4,8 hao watu mizigo sana namba 8 kwenye mbolea ya Ruzuku ka chafua hali ya hewa mpka anaona aibu yyeMawaziri wote ambao wizara zao zina mgogoro mkubwa wa usimamizi mbovu wamekimbilia NEC ya CCM ili Rais na wabunge washindwe kuwabana wakijua ndio mabosi zao ikifika 2025.
1. Dotto Biketo (MNEC)
2. Januari Makamba (MNEC)
3. Mwigulu Nchemba (MNEC)
4. Nape Nauye (MNEC)
5. Angelina Mabula (MNEC)
6. Ashatu Kijaji (MNEC)
7. Angela Kairuki(MNEC)
8. Hussein Bashe(MNEC)
HAO MAWAZIRI NDIO WANAOONGOZA KWA UTENDAJI MBOVU UNAOSABABISHA HASARA KWA TAIFA NA UGUMU WA MAISHA YA WANANCHI WA CHINI NA WOTE NDIO MABOSI WA RAIS SAMIA AMBAO NDIO WATAKAOPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS 2025 NA WABUNGE
Kwenye madini watafanyajwe wakati utawala ni wa JK, hata ardhi huko ni JK ndiye waziri. Cha msingi nchi ina rais jina na sio rais mamlaka.unajua yanayoendelea kwenye migogoro ya ardhi? watu wanakufa kila leo, unajua yanaendelea kwenye madini kila leo madini yanakamatwa china, india mara kenya