OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Naibu waziri wa Afya Aisha kigoda amezima minongono ya muda mrefu ,baada ya kuamua kuweka wazi Bungeni kuwa waziri wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano mhe Seif khatib ndiye barafu wa moyo wake
Mmambo yalikuwa hivi:
Mwenyekiti wa Bunge mh Job Ndugai alimwita naibu waziri, Dr kigoda kuchangia kwa dakika 20 kabla ya waziri wake prof mwakyusa kupewa nafasi ya kuhitimisha hoja hiyo
Baada ya kusimama, Dr Kigoda alianza kumshukuru Rais JK kwa kumwamini na kumteua kushikilia wadhifa alionao, alimshukuru bosi wake professor Mwakyusa kwa ushirikiano anaompa kazini pia akawashukuru wafanyakazi wenzake.
Naibu waziri huyo akamalizia kwa kumshukuru mpenzi wake Mhe Seif khatib ndiye barafu wa moyo wake
Mmambo yalikuwa hivi:
Mwenyekiti wa Bunge mh Job Ndugai alimwita naibu waziri, Dr kigoda kuchangia kwa dakika 20 kabla ya waziri wake prof mwakyusa kupewa nafasi ya kuhitimisha hoja hiyo
Baada ya kusimama, Dr Kigoda alianza kumshukuru Rais JK kwa kumwamini na kumteua kushikilia wadhifa alionao, alimshukuru bosi wake professor Mwakyusa kwa ushirikiano anaompa kazini pia akawashukuru wafanyakazi wenzake.
Naibu waziri huyo akamalizia kwa kumshukuru mpenzi wake Mhe Seif khatib ndiye barafu wa moyo wake