Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
mie nawatakia kila la heri na mola awajaalie ndoa yao idumu
kuhusu upotoshaji wa habari ndio watanzania tunavyoamini ili habari ipate wasomaji lazima uipooshe hiki ni kilema maana watza wadaku sasa stori za udaku ndio zipendwaZo
kuhusu upotoshaji wa habari ndio watanzania tunavyoamini ili habari ipate wasomaji lazima uipooshe hiki ni kilema maana watza wadaku sasa stori za udaku ndio zipendwaZo