kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Dr. Faustine Ndugulile naamini amepwaya pale mawasiliano, kasi ya mabadiliko ya teknologia ukilinganisha na uwezo wake kiubunifu kwenye ili eneo amepwaya kabisa.
Waziri wa michezo Bashungwa wizara yake imemkalia vibaya. Hana hoja au maelekezo mapya yakimkakati kwenye sekta ya michezo. Ukiona DC anakuja kuweka mazingira ya uwanja yawe na hadhi yakimataifa na Waziri yupo tambua uwezo na ubunifu haupo. Lakini pia TFF na bazara la michezo vimekaa kama vyombo visivyo chini ya wizara yake. Basata nayo kifo Cha mende, magazeti na vyombo vya habari vinasubiri maelekezo ya Rais, je nafasi ya waziri Ni ipi wizarani Kama majukumu haya yanamsubiri DC au Mhe. Rais?
Palamagamba Kabudi, ni mbobezi wa sheria lakini si mtu sahihi kwenye wizara ya katiba na sheria. Msimamo na mambo aliyowaaminisha Watanzania for 5yrs si Yale anayopaswa kusimamia leo.
Anaona aibu na anashindwa atumie mbinu gani kuwaaminisha wananchi kwamba ubeberu ulitukwamisha. Atatumia mbinu gani kutuaminisha kwamba si muasisi wa sheria kandamizi.za nchi hii. Ni vigumu kufanikiwa Bora abaki mbunge wa kawaida Kama akina Bashiru.
Hawa ni baadhi ya Mawaziri ambao siwezi sema Ni mizigo ila wamekabidhiwa wizara ambazo zimegeuka mizigo kwao.
Waziri wa michezo Bashungwa wizara yake imemkalia vibaya. Hana hoja au maelekezo mapya yakimkakati kwenye sekta ya michezo. Ukiona DC anakuja kuweka mazingira ya uwanja yawe na hadhi yakimataifa na Waziri yupo tambua uwezo na ubunifu haupo. Lakini pia TFF na bazara la michezo vimekaa kama vyombo visivyo chini ya wizara yake. Basata nayo kifo Cha mende, magazeti na vyombo vya habari vinasubiri maelekezo ya Rais, je nafasi ya waziri Ni ipi wizarani Kama majukumu haya yanamsubiri DC au Mhe. Rais?
Palamagamba Kabudi, ni mbobezi wa sheria lakini si mtu sahihi kwenye wizara ya katiba na sheria. Msimamo na mambo aliyowaaminisha Watanzania for 5yrs si Yale anayopaswa kusimamia leo.
Anaona aibu na anashindwa atumie mbinu gani kuwaaminisha wananchi kwamba ubeberu ulitukwamisha. Atatumia mbinu gani kutuaminisha kwamba si muasisi wa sheria kandamizi.za nchi hii. Ni vigumu kufanikiwa Bora abaki mbunge wa kawaida Kama akina Bashiru.
Hawa ni baadhi ya Mawaziri ambao siwezi sema Ni mizigo ila wamekabidhiwa wizara ambazo zimegeuka mizigo kwao.