Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
ππππππ Hahahaha kumbe nawe wajua okay tutakutana kule jukwaa letu la ubuyuAhaa Kama ni Jeni hilo linajulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππ Hahahaha kumbe nawe wajua okay tutakutana kule jukwaa letu la ubuyuAhaa Kama ni Jeni hilo linajulikana
Yaani unamaanisha atawaondoa mmoja haya mabwenyenye?Tuendelee kula mtori nyama zipo chini, Kimsingi hawa wakubwa hawapo kwa ajili ya kupigania maslahi ya watu wenye vipato vidogo badala yke wapo kwa ajili ya familia zao. ACHA MUNGU AENDELEE KUTUSIMAMIA. Tuzidi kumuomba na kumtumainia.
mshauri apumzike kama atakubali.Katika mawaziri ambao sijawahi kuwaelewa ni huyo Jenister Mhagama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hahahaha kumbe nawe wajua okay tutakutana kule jukwaa letu la ubuyu
Yeah halipoHivi lile JLW ndo limekufa kabisa
Huwa sijihangaishi wa watu sampuli yake, huwa nawaangalia nawaacha tu.mshauri apumzike kama atakubali.
Yeah halipo
Wewe unatoka mkoa gani?Ndiyo maana mikoa ya kusini imejaa watu maskini sn sababu ya aina ya watu wanaotoka kusini
Nipeni connection zake sasaNasikia golikipa wake mrefu huyooo!!!
Kwa watafutajiWewe unatoka mkoa gani?
Sasa kuna kipi cha maana huko? Juzi tu walikuwa wanalalamika kuwa wametengwa, hamna kitu ninyi!Wewe unatoka mkoa gani?
Kwa mganga au?Anachojua ni kupeleka tu watu kwa mpalange.
Hapana kwa mpalange sio kwa mganga....Kwa mganga au?
Rekebisha kwenye kichwa cha habari!!Kwa miaka 6 Jensiter na Ndumbaro wamekuwa wakishikilia portfolios muhimu sana za kuangalia maslahi ya wafanyakazi. Hata hivyo mpaka sasa hamna chcochote cha kujivunia wanachoweza ongea kuhusu wafanyakazi. Jesnister tangu akute ile Wage Order ya mishahara ya watu wa sekta binafsi ya Mwaka 2013 hajawahi hata kuiongelea mahali.
Huyu mama na mwenzake Ndumbaro hawa-reflect kabisa roho nzuri za watu wa Ruvuma walizonazo. Sijui wamekuwaje hawa? Yaani bure kabisa! Na Mwenyezi Mungu awaangalie pamoja na nafasi zao zinazowapata kiburi wasije pata amani kamwe kwa matendo yao mabaya wakimaliza utumishi wa umma.
Ndumbaro mpaka ameingia Samia leo ndiyo anaona umihumu wa kuwalipa wa darasa la saba. Yaani wewe ni bendera fuata upepo tu - hufai pale utumishi. Na siku ukiondolewa ni lazima watumishi watapiga vigelegele! Ndumbaro ni msomi mzuri tu lakini hujali hata wale waliokumbwa na sakata la vyeti feki pia walihitaji kulipwa fedha zao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
Hawa watu walifanya kazi na Katiba ya Nchi inawapa haki ya kulipwa ujira wao. Serikali yenyewe ilikuwa dhaifu kuajiri wa vyeti feki lakini yenyewe imeshindwa kujiwajibisha kwa makosa iliyofanya. Nchi hii mjenga chuki sana sana. Ndiyo maana Kiongozi mkubwa wa nchi anafariki wananchi wanashangilia.
Hata kama mnafikiri walioshangilia ni wachache bado pia wana impact. Hamjiulizi mbona Nyere na Mkapa walipofariki hamna hata mtu mmoja alionekana kushangilia?
Acheni roho mbaya - madaraka ni ya kupita tu! Mngemshauri vema Rais leo wafanyakazi wangekuwa wanafurahi na familia zao!
[emoji1787]: yeye mwanamama anawapelekaje?Hapana kwa mpalange sio kwa mganga....
Umeokoka?
Anawapeleka....niko sawa, niko sahihi[emoji1787]: yeye mwanamama anawapelekaje?
Angekua anapeleke.....a ningeelewa vizuri.