Mawaziri Jenister Mhagama na Damas Ndumbaro hawana upendo kwa wafanyakazi kabisa

Tuendelee kula mtori nyama zipo chini, Kimsingi hawa wakubwa hawapo kwa ajili ya kupigania maslahi ya watu wenye vipato vidogo badala yke wapo kwa ajili ya familia zao. ACHA MUNGU AENDELEE KUTUSIMAMIA. Tuzidi kumuomba na kumtumainia.
Yaani unamaanisha atawaondoa mmoja haya mabwenyenye?
 
kwa mgogoro alio usababisha Mei Mosi, waziri na naibu wake walipaswa waachie ngazi mara moja.
kwa kiasi kikubwa hawa ndio wamesababisha uchonganishi.
 
Kw Taarifa tu ni kua Huyo Jenista Mhagama ni mmoja ya watu incompetent kuwahi kua nao, ni wale hoyahoya ukijumlisha na elimu yake ya msondo, simply ni team vigelegele na hajawahi kusimamia issue yoyote technical, recall issue ya kikokotoo alivyomnawisha yule director irene Isaka wa regulatory ya social security.

Upstairs kwake panamtosha yeye!
 
Ndiyo maana mikoa ya kusini imejaa watu maskini sn sababu ya aina ya watu wanaotoka kusini
 
Rekebisha kwenye kichwa cha habari!!

Ndumbaro anaeshughulika na maslai ya wafanyakazi ni Dr. Laurean Ndumbaro ambae ndie Katibu Mkuu wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma na SIO Dr. Damas Ndumbaro ambae ni Waziri wa Utalii.

Rekebisha hilo jina hapo juu!!!!
 
Jenista anabebwa tu ila hana leadership potential yoyote ile yaani legacy yake ni kuwa kofia kwa kobe anakwenda kila anakokwenda Rais aliyepo madarakani yaani hana jipya kabisa.

Sent from my TECNO CF8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…