Tunampongeza Mh Rais kwa hatua nyingi mbalimbali. Mh. Lissu na Mh Mbowe ni wapinzani, tena sio wakitoto na tunawahitaji sana kwa kazi hiyo. Tuache kuwabambikia kesi za ugaidi nk zinazochafua sura ya nchi kwa dunia na ndani ya nchi. Lakini wajibiwe kwa utendaji wenye tija, unaokidhi matakwa ya watawaliwa na hoja zenye mashiko. Watanzania sio wajinga kama alivyosema mwendazake mwenyewe na cheo ni dhamana ya muda mfupi. Mkiwanyima wapinzani makini kuongea, watazaliwa kina Hamza. Usifikiri hawa wafadhili (EU, USA, UK, Germany etc) wanaokuja mahakamani kusikiliza kesi ya Mbowe hawana kazi, au wamekuja kutembea: There will be serious consequences in the event that justice will not be seen observed and mark my words. Tusidanganyane kwamba ati sisi ni nchi huru kwa hiyo tuna uhuru hata wa kuoneana. Nonsensical. Kwa hiyo Mh Sangaya tunakuomba uisalimishe nchi yetu.