Hilo ni tusi kwa wanananchi, si kwa wabunge. Kazi ya waziri si mbeba bunduki wala mzinga, lakini akumbuke kuna kazi unaweza mpa mjinga yeyote na akaifanya, hata kama si kwa kiwango, lakini si kila kazi inaweza fanywa na yeyote, taaluma ina nafasi yake.Ina maana kati ya wabunge 300+ wa CCM hakuna mwenye afadhali hadi Hangaya anakopa watu nje ya bunge?
Atakwambia waziri wa tecnologia kazi yake sio kujua na kusimika minara na vikorombwezo vyake.Hiyo wizara ya Habari ya Habari na teknolojia aweke mtu mbobezi kwenye teknolojia ya mawasiliano asituletee madaktari wapima mikojo na vinyesi hospital kama Ndugulile
Tumepiga kelele kuwa PayPal Tanzania iruhusiwe kama njia ya kupokea malipo ya biashara za mitandaoni waziri alikuwa haelewi hata PayPal ni kitu gani
Na kifurushi ukilipia na siku ya tatu ukasafiri mwezi, ukirudi imekula kwako!Siyo Pay Pal tu, Sasa hivi nchi nyingi zinaweka Televisheni na Redio zake kwenye satellite (tv mux) moja ambayo mawimbi yake yanafikika na kupatikana kwa urahisi ndani ya nchi husika na hivyo kuondoa kero ya upatikanaji wa habari lakini gharama za kupata taarifa na habari. Sie bado tunategemea hizi tv za kulipia ambao kila siku wanapandisha gharama za vifurushi vyao.
Kama atafanikiwa kuyaona ulio andika naye akayafikisha kwa mhusika.Tunampongeza Mh Rais kwa hatua nyingi mbalimbali. Mh. Lissu na Mh Mbowe ni wapinzani, tena sio wakitoto na tunawahitaji sana kwa kazi hiyo. Tuache kuwabambikia kesi za ugaidi nk zinazochafua sura ya nchi kwa dunia na ndani ya nchi. Lakini wajibiwe kwa utendaji wenye tija, unaokidhi matakwa ya watawaliwa na hoja zenye mashiko. Watanzania sio wajinga kama alivyosema mwendazake mwenyewe na cheo ni dhamana ya muda mfupi. Mkiwanyima wapinzani makini kuongea, watazaliwa kina Hamza. Usifikiri hawa wafadhili (EU, USA, UK, Germany etc) wanaokuja mahakamani kusikiliza kesi ya Mbowe hawana kazi, au wamekuja kutembea: There will be serious consequences in the event that justice will not be seen observed and mark my words. Tusidanganyane kwamba ati sisi ni nchi huru kwa hiyo tuna uhuru hata wa kuoneana. Nonsensical. Kwa hiyo Mh Sangaya tunakuomba uisalimishe nchi yetu.
Huyo ni mlevi tuSasa hili Jo linahusiana vipi na BAVICHA? au ulitaka kusema uvccm?
Kwani wewe Lissu alikufanya nini...mbian huwa unatafuta tu namna ya kumtaja hata pasipo husika...?Kwa hali hii Lisu na Chadema hawana chao tena.
Samia ni dhaifu tu,ana uwezo wa kuongoza watu.Waendelee tuu kumlinganisha na yule mropokaji wataisoma namba.
Inawezekana alikuwa kimada wa Lissu so anaumia baada ya jamaa kuhama veniKwani wewe Lissu alikufanya nini...mbian huwa unatafuta tu namna ya kumtaja hata pasipo husika...?
Sawa ngoja muendelee kutumbuliwa mtaongea yoteSamia ni dhaifu tu,ana uwezo wa kuongoza watu.
Chadema kwa kujifariji mko sawa,chama kutoka wabunge zaidi ya Mia,leo kina mbunge mmoja tu,na migogoro kibao bado mnasema kuna chama hapo! ngoja Mfarume Mbowe anyeshewe mvua ya miaka kama kumi hivi,akina Mdee wachukue chama mdio mtajua, chadema iliisha kufa to Slaa alivyoachia ngazi, huo ndio ulikuwa mwisho wa chadema.huu wimbo wa Chadema kufa mliuimba sana na Mzee Pombe matokeao yake akafa mzee Pombe kwa korona alafu chama bado kipo.
Kutumbua akufanyi mtu kutokuwa dhaifu,Samia rais dhaifu kutokea kuongoza taifa kubwa la Tanganyika,na baati anaongoza Watanganyika, ingelikuwa kwao Zanzibar aliisha fukuzwa, maana wazanzibari awataki mchezoSawa ngoja muendelee kutumbuliwa mtaongea yote
Tena katekwa ni kibaba fulani hivi, tutaendelea kumwombea awe free, walokole mkuje katika maombi chifu awekwe huru 😭Lissu anasema mama ametekwa.
Tunda gani unalitaka?Kazi imekuwa kuteua tu, lakini matunda ya uteuzi wananchi bado wanapata tabu