Mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali waapishwa Ikulu, Dodoma

K

Kutumbua akufanyi mtu kutokuwa dhaifu,Samia rais dhaifu kutokea kuongoza taifa kubwa la Tanganyika,na baati anaongoza Watanganyika, ingelikuwa kwao Zanzibar aliisha fukuzwa, maana wazanzibari awataki mchezo
Wewe strong na wenzako mnasubilia nini kuongoza?
 
Huyu Mzanzibari kwenye wizara ya ujenzi isiyohusu muungano anatafuta nini. Hakuna watanganyika wenye uwezo wa kuiongoza mpaka apewe tx? Mjengo wake wa ghorofa saba karibu na stendi mpya ya mabasi ya mwenge naona unaenda kwa kasi ya ajabu huku ujenzi wa stendi ukiwa umesimama
 
Kwahiyo Kalemani alirelax..... So Makamba is better...!??

Hiki ni kituko..
Kituko cha Karne, huyo dogo Februrary alishaonekana ni mamluki wayback. Nimepitia mahala nikaona pia kumbe alikuwa ni kilaza tu maeneo ya skonga ila mbeleko fc zilihusika kumfikisha alipo na mpaka sasa zinaendelea.
 
Makamba, hakikisha kukatikakatika umeme itakuwa historia, mimi mlala hoi ninapata shida na kasaluni kangu ka kunyoa. Ni hako kanapeleka chakula mezani, kukatika umeme ni kamba shingoni.
We unategemea kunakwenda kuwa na unafuu wowote? Huyo dogo alikuwa anatafutiwa chance siku nyingi tu hapo ni mwendo wa kupiga tu na naskia anautakaga uraisi so anaweza akalamba dume 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…