Pre GE2025 Mawaziri wa 3 wanatarajiwa kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10

Pre GE2025 Mawaziri wa 3 wanatarajiwa kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Wakuu,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (Mb), amesema Mawaziri Watatu, akiwemo yeye, Waziri wa TAMISEMI, na Waziri wa Elimu wanatarajia kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10, mwaka huu.

Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 3, 2025 Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Waziri na Wakuu wa Taasisi za Umma.

Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.

Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.

 
Wakuu,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (Mb), amesema Mawaziri Watatu, akiwemo yeye, Waziri wa TAMISEMI, na Waziri wa Elimu wanatarajia kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10, mwaka huu.

Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 3, 2025 Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Waziri na Wakuu wa Taasisi za Umma.

Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.

Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.

Mawaziri hao wanapaswa wakutane na Vijana wote kabisa wasio na ajira, wasikutane na hao Walimu wa NETO peke yake.
 
Mawaziri hao wanapaswa wakutane na Vijana wote kabisa wasio na ajira, wasikutane na hao Walimu wa NETO peke yake.
Kila sekta inatakiwa iunde umoja wake. Na watumie umoja wao kudai mabadiliko tena kwa masharti. Watumie umoja wao kwenye maamuzi ya kupiga kura na kudai mabadiliko. La muhimu ni kuwa na viongozi shupavu wasioweza kununuliwa.
 
Ni mwaka wa uchaguzi huu. Na walimu nawajua.
 
Duhh ukianzishwa umoja wa vijana waliokosa ajira jkt nitajiunga.
 
Wakuu,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (Mb), amesema Mawaziri Watatu, akiwemo yeye, Waziri wa TAMISEMI, na Waziri wa Elimu wanatarajia kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10, mwaka huu.

Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 3, 2025 Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Waziri na Wakuu wa Taasisi za Umma.

Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.

Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.

Kutana na viongozi, wawape ulaji basi hapo kauli mbiu itabadilika atakuwa siye mandela yule aliyeingia gerezani
 
Kwanini wasim-consult JK ambaye aliweza kutoa ajira kwa walimu bila interview...
 
Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.
Aache blabla analipwa ili atumie kichwa chake kufikiri utatuzi wa changamoto in short hakuwa na haja ya kukutana nao anatakiwa atatue tatizo
 
Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.
1741026796840.png
 
NETO pambaneni mpaka kieleweke. Serikali ina uwezo wa kuwaajiri wote. Na uzuri kuna upungufu mkubwa tu wa walimu, na hasa maeneo ya vijijini. Shida iliyopo kwenye hii serikali ni kuwa na vipaumbele vilivyojaa ubinafsi wa kupitiliza na upigaji!

Mfano kutumia bilions of T shilings kununulia ndege, kununua magari ya kifahari, kuwalipa mishahara minono wabunge wasio na manufaa kwa wananchi! kuilea mianya sugu ya rushwa na ufisadi, nk. Kama serikali ingekuwa na matumizi mazuri ya fedha, naamini uwezo wa kuwaajiri wote na kuwalipa mishahara kila mwezi, inao.
 
Wakuu,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (Mb), amesema Mawaziri Watatu, akiwemo yeye, Waziri wa TAMISEMI, na Waziri wa Elimu wanatarajia kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10, mwaka huu.

Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 3, 2025 Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Waziri na Wakuu wa Taasisi za Umma.

Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.

Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.

Napinga Mawaziri kukutana na viongozi wa Umoja usiosajiliwa. Kesho mtalazimika kukutana na Chama cha Wavuta Bangi.
 
NETO pambaneni mpaka kieleweke. Serikali ina uwezo wa kuwaajiri wote. Na uzuri kuna upungufu mkubwa tu wa walimu, na hasa maeneo ya vijijini. Shida iliyopo kwenye hii serikali ni kuwa na vipaumbele vilivyojaa ubinafsi wa kupitiliza na upigaji!

Mfano kutumia bilions of T shilings kununulia ndege, kununua magari ya kifahari, kuwalipa mishahara minono wabunge wasio na manufaa kwa wananchi! kuilea mianya sugu ya rushwa na ufisadi, nk. Kama serikali ingekuwa na matumizi mazuri ya fedha, naamini uwezo wa kuwaajiri wote na kuwalipa mishahara kila mwezi, inao.
Wabunge wajinga hewa wa jiwe, v8! Ccm ni laana nchi hii!
 
Kila sekta inatakiwa iunde umoja wake. Na watumie umoja wao kudai mabadiliko tena kwa masharti. Watumie umoja wao kwenye maamuzi ya kupiga kura na kudai mabadiliko. La muhimu ni kuwa na viongozi shupavu wasioweza kununuliwa.
Wapigie sawa. Je walijiandikisha ?
 
Wakuu,

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene (Mb), amesema Mawaziri Watatu, akiwemo yeye, Waziri wa TAMISEMI, na Waziri wa Elimu wanatarajia kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10, mwaka huu.

Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 3, 2025 Jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Waziri na Wakuu wa Taasisi za Umma.

Amesema lengo la kukutana na umoja huo ni Kuwasikiliza, Kushauriana namna bora yakupata majawabu sahihi ya kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini.

Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) wakubali wito wa Simbachawene lakini wataka kuwepo na Ulinzi kwenye kikao

Ikumbukwe kuwa siku za hivi karibu Umoja huo uliibuka na madai ya uwepo wa vitendo vya upendeleo na rushwa katika usaili wa nafasi za ajira za kada ya Ualimu Serikalini.

Hata hivyo pamoja na Waziri Simbachawene kutangaza kutaka kukutana nao kwa mara ya kwanza viongozi wa umoja huo akiwemo Mwenyekiti na Katibu walikamatwa na jeshi la polisi.

MWAKA WA UCHAGUZI HUU TATIZO LIMETENGENEZWA LINAENDA KUTATULIWA
 
NETO pambaneni mpaka kieleweke. Serikali ina uwezo wa kuwaajiri wote. Na uzuri kuna upungufu mkubwa tu wa walimu, na hasa maeneo ya vijijini. Shida iliyopo kwenye hii serikali ni kuwa na vipaumbele vilivyojaa ubinafsi wa kupitiliza na upigaji!

Mfano kutumia bilions of T shilings kununulia ndege, kununua magari ya kifahari, kuwalipa mishahara minono wabunge wasio na manufaa kwa wananchi! kuilea mianya sugu ya rushwa na ufisadi, nk. Kama serikali ingekuwa na matumizi mazuri ya fedha, naamini uwezo wa kuwaajiri wote na kuwalipa mishahara kila mwezi, inao.
Kabisa.
 
Back
Top Bottom