Pre GE2025 Mawaziri wa 3 wanatarajiwa kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10

Pre GE2025 Mawaziri wa 3 wanatarajiwa kukutana na Umoja wa Walimu Wasio na ajira Tanzania (NETO) Machi 10

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye usahili ndo serikali imewatengenezea wengine ulaji, connections at work. Uchi na pochi kama kawa kama dawa huku wao wakiita usahili. Mie binafsi nategemea serikali itangaze ajira 250,000 ambazo ndo hitaji la katika shule za serikali kwa sass badala ya miendelezo ya vikao
 
Kwenye usahili ndo serikali imewatengenezea wengine ulaji, connections at work. Uchi na pochi kama kawa kama dawa huku wao wakiita usahili. Mie binafsi nategemea serikali itangaze ajira 250,000 ambazo ndo hitaji la katika shule za serikali kwa sass badala ya miendelezo ya vikao
Acha uchizi , serikali gani inaweza ajiri watu laki 2 kwa mkupuo
 
Mawaziri hao wanapaswa wakutane na Vijana wote kabisa wasio na ajira, wasikutane na hao Walimu wa NETO peke yake.
vijana wengine si wako kimya, wameridhika, pamoja na kwamba walimu wanasemwa lakini ndio wapigania uhuru hao
 
Back
Top Bottom