mara baada ya uchaguzi mkuu kumalizika endapo magufuri atashinda kiti cha urais basi tutarajie wafuatao ndo watakuwa mawaziri
1.Steven Wasira
2.George Mkuchika
3. eng Christopher Chiza
4. January Makamba
5. Juma Nkamia
6.fenera mkangala
7. Abdalah Kigoda
8. Mwigulu Nchemba
9. prof Sospeter Muhongo
10. prof Anna Tibaijuka
11. Lazaro Nyalandu
12.William Ngeleja
13.Andrew Change
14.Harrison Mwakyembe
15. Magreth sita
16. Mary Nagu
17. Agrey Mwanri
18. Prof Jumanne Magembe
19. Sophia Simba
20.jenister mhagama
21. William Lukuvi
22.N.k
Hizo ni sura ambazo tuzitegemee kwenye baraza la magufuri kutokana na katiba ya mwaka 1977 ambayo inataka waziri lazima awe mbunge sura mpya sio rahisi sana kuonekana kutokana na elimu mfano lusinde, Majimarefu nk
Endapo Lowasa atakuwa rais tutegemee mawaziri wafuatao
1.john john Mnyika
2. Tundu Lissu
3. Julias Mtatiro
4. James lembeli
5. freeman Mbowe
6. Stephen Owawa
7. Halima Mdee
8. James mbatia
9. David kafurila
10.Benson Kigaila
11. Ismail jussa
12. Dr. makaidi
13.Mkosamali
14.wenje
15. mbarook masood
16.Said kubenea
17. Higheness kiwia
18. said baruani
19. Mch Peter Msigwa
20. Enerest Silinde
21. Alphonce Mawazo
22.N.k
N.k inategemea Nani atashinda na Nani hatashinda lakini huo ndo mwonekano wa jumla
sasa kazi ni kwetu kujiuliza ni ipi timu inaweza Kuwaletea maendeleo kwa kasi na kututoa hapa tukipo kwa kasi pia kuweza kutuletea majina ya mgao mkubwa wa escrow,kutueleza jinsi twiga walivyochuchumaa ndani ya ndege
1.Steven Wasira
2.George Mkuchika
3. eng Christopher Chiza
4. January Makamba
5. Juma Nkamia
6.fenera mkangala
7. Abdalah Kigoda
8. Mwigulu Nchemba
9. prof Sospeter Muhongo
10. prof Anna Tibaijuka
11. Lazaro Nyalandu
12.William Ngeleja
13.Andrew Change
14.Harrison Mwakyembe
15. Magreth sita
16. Mary Nagu
17. Agrey Mwanri
18. Prof Jumanne Magembe
19. Sophia Simba
20.jenister mhagama
21. William Lukuvi
22.N.k
Hizo ni sura ambazo tuzitegemee kwenye baraza la magufuri kutokana na katiba ya mwaka 1977 ambayo inataka waziri lazima awe mbunge sura mpya sio rahisi sana kuonekana kutokana na elimu mfano lusinde, Majimarefu nk
Endapo Lowasa atakuwa rais tutegemee mawaziri wafuatao
1.john john Mnyika
2. Tundu Lissu
3. Julias Mtatiro
4. James lembeli
5. freeman Mbowe
6. Stephen Owawa
7. Halima Mdee
8. James mbatia
9. David kafurila
10.Benson Kigaila
11. Ismail jussa
12. Dr. makaidi
13.Mkosamali
14.wenje
15. mbarook masood
16.Said kubenea
17. Higheness kiwia
18. said baruani
19. Mch Peter Msigwa
20. Enerest Silinde
21. Alphonce Mawazo
22.N.k
N.k inategemea Nani atashinda na Nani hatashinda lakini huo ndo mwonekano wa jumla
sasa kazi ni kwetu kujiuliza ni ipi timu inaweza Kuwaletea maendeleo kwa kasi na kututoa hapa tukipo kwa kasi pia kuweza kutuletea majina ya mgao mkubwa wa escrow,kutueleza jinsi twiga walivyochuchumaa ndani ya ndege