Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Kuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
why Bashungwa? mapungufu yake ni yapi?Kuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.
Unaota weweMadelu
UnajifarijiMakamba,
Wananchi hawamwelewi
chuki binafsi anashindwa kuona madelu na makamba anakomalia bashungwa kisa hawasikii akibwekabwekawhy Bashungwa? mapungufu yake ni yapi?
Kisa msukumachuki binafsi anashindwa kuona madelu na makamba anakomalia bashungwa kisa hawasikii akibwekabweka
kwani voda fasta sio mwalimu?na hiyo sababu weak sana na pia waziri huwezi kuangalia vitu vidogo kama hivyoTamisemi imejaa rushwa. Emergine mwalimu wa voda faster anakuwa afisa taaluma(kupitia Kwa karibu Mkuu wake)
Waliosave katika kazi hizo bila barua ya KM wanaambiwa ondokeni
Makamba,
Wananchi hawamwelewi
Huyo aguswi ni sawa na Ridhwan. They're grooming them for special assignmentsMakamba,
Wananchi hawamwelewi
Amejichoresha Sana. Eti anaomba wakuu wa wilaya wanunuliwe magari as if Kuna DC mwenye gari bovu.Kuelekea mabadiliko ya baraza la mawaziri, ni mawaziri na manaibu gani wamekalia kuti kavu? Mimi naanza na Mh. Bashungwa sidhani kama atabaki Tamisemi sidhani.