james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 693
- 690
Wanajiuzuru kwa sababu wameona hii vita hawawezi kushinda na comedian hajali watu wake yy anatumika tu km kibara wa us na ulaya analazimisha aendelee na vita huk nnchi ikiendelea kutafunwa ni aibu na jamaa hashauriki na wenzet wakionaga hivyo kwa heshim yao yaleo na kesho kama kiongozi mkubwa na mshauri kwa nchi hawatakagi aibuhuwa hawaburuzwi wanaamua kujiuzuru ubaki na msala wako mwenyewe