Mawaziri wawili wageuka kuwa Content Creator

Mawaziri wawili wageuka kuwa Content Creator

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742

Mwigulu na Makamba wamegeuka kuwa Content Creator (mengine siyasemi hapa kama Mwigulu kuwa Coach na Mmiliki wa ile timu ya Singida na kumiliki kampuni ya betting, na pia Makamba kumpa dada yake deal za tender kubwa kubwa wasifikiri hatuwaoni) sasa hii ya kutembea na wapiga picha shazi na kututengenezea content badala kufanya kazi za kuonekana sio nzuri mazee.
 
Wote hawa wanaitamani keki ya nchi yetu kwa namna yoyote ile.
 
KIZIMKAZI YY kusafiri na wanampatia masafari tu. Yandani hajui
 
Back
Top Bottom