Mawazo gani yalikupitia kichwani baada ya kumaliza "game" na huyo demu?

Mawazo gani yalikupitia kichwani baada ya kumaliza "game" na huyo demu?

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Wazungu wanaita hii hali "post nut clarity" yaani fahamu kukurudia baada ya hamu yako ya kujamiiana kufunga

Kama ulikuwa huoni hilo komwe la huyo mwanamke hapa sasa ndio utaona, kama ulikuwa hujaona vizuri kwamba ni lishangazi basi hapa ndio utaona, kama mliokotana Tandale kwa mfuga mbwa na ukawa hujali sahizi ndio muda wa kujali

Kijana mwenzangu...... Lilikuja wazo gani? 🤣🤣
 
Wazungu wanaita hii hali "post nut clarity" yaani fahamu kukurudia baada ya hamu yako ya kujamiiana kufunga

Kama ulikuwa huoni hilo komwe la huyo mwanamke hapa sasa ndio utaona, kama ulikuwa hujaona vizuri kwamba ni lishangazi basi hapa ndio utaona, kama mliokotana Tandale kwa mfuga mbwa na ukawa hujali sahizi ndio muda wa kujali

Kijana mwenzangu...... Lilikuja wazo gani? 🤣🤣
JF lakini!
 
Hii aliwahi isema lil wayne kwenye ngoma yake moja 'after i cum , i come to my sense'.
 
Back
Top Bottom