Mawazo huru: Muungano wetu Upige hatua 1 mbele

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Katika hatua yakwanza tulifanikiwa kuiua na kuizika Tanganyika, safari hii tuiue na kuizika Zanzibar tubaki na Tanzania tu.

Unguja na Pemba iwe mikoa, tuweke wakuu wa mikoa wawili kule, nchi iwe 1 tuendelee kuchapa kazi.

Wafitini wasiopenda muungano wetu wakose hoja maana nchi itakuwa 1, Rais 1, Bunge 1, Bendera 1 ya taifa, Wimbo 1 wa taifa nk.
 
Kwahivo Zanzi iwe kama Mafia Islands?!
 
Hakuna asiyependa Muungano, ni wachache sana mkuu.

Wengi wanapinga huu muundo wa Serikali mbili, una dosari nyingi na hautekelezeki
 
Hakuna asiyependa Muungano, ni wachache sana mkuu.

Wengi wanapinga huu muundo wa Serikali mbili, una dosari nyingi na hautekelezeki
Tukiwa na serikali moja unaonaje mkuu? Au wewe unapenda muundo wa serikali 3?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…