Mawazo juu ya kuanzisha Disco la kucheza muziki

Mawazo juu ya kuanzisha Disco la kucheza muziki

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Siku hizi naona mambo yamebadilika, night clubs zimejikita zaidi kwenye kuuza vinywaji kuzidi uwaja wa kucheza (dancig floor), hii nimeona inanyima watu ule mzuka wa kwenda club kwa jili a kucheza.

Kiukweli mimi ni mgeni kwenye hii biashara ila zamani nlikuwa napenda sana kwenda disco zenye mziki mnene, tunacheza mpaka kunakucha.

Soko nalenga zaidi liwe la vijana chini ya 25, miziki ya kupagawisha dancing floor itakuwa ni rege mafiy, pop, afro pop na bongo pop

Ningependa kujikita zaidi kwenye dancing floor kuliko kuuza vinywaji,



 
Mm nakuahidi ntakuwa mteja wako. Kuhusu ushauri kweny hili sina subiri waje
 
Nahitaji mawazo yenu kuhusu mradi wa kufungua disco ya kucheza muziki.

Kiukweli mimi ni mgeni kwenye hii biashara ila nina nlikuwa napenda sana kwenda disco hapo zamani,
Stress mbaya
 
Kiingilio kiwe 10,000/= kwa wanaume na wanawake iwe bure.

Utashangaa utavyojaza had utaogopa maana sisi wanaume tunahangaikaga na dunia sana.

ila vinywaji viwepo ili wanawake wakiingia bure wanunue angalau kinywaji
 
Club bussiness kidogo ni changamoto sasa. Biashara sasa ni open bar. Ifungue alafu wachezesha haswa mziki.
Mimi nimetoka kwenye biashara ya club na sasa soon nafungua open bar yenye maisha ya club
 
Siku hizi naona mambo yamebadilika, night clubs zimejikita zaidi kwenye kuuza vinywaji kuzidi uwaja wa kucheza (dancig floor), hii nimeona inanyima watu ule mzuka wa kwenda club kwa jili a kucheza.

Kiukweli mimi ni mgeni kwenye hii biashara ila zamani nlikuwa napenda sana kwenda disco zenye mziki mnene, tunacheza mpaka kunakucha.

Soko nalenga zaidi liwe la vijana chini ya 25, miziki ya kupagawisha dancing floor itakuwa ni rege mafiy, pop, afro pop na bongo pop

Ningependa kujikita zaidi kwenye dancing floor kuliko kuuza vinywaji,

View attachment 2004396

View attachment 2004395
Yaani club isiwe na pombe???

Kwanza kwa maelezo yako wewe unataka kuinua vipaji vya vijana Hilo halina uhusiano na disco fuata utaratibu wa kuanzisha tamasha la kuinua vipaji Kama lile la bongo star search ila uwe na uzoefu...!!!
 
Back
Top Bottom