Mawazo kuhusu biashara ya wasaidizi wa kazi za ndani

Asante sana mkuu, wengi hawajui mazingira ninayowakuta hawa mabinti.
80% wengi wanakimbia ndoa, maana nna binti aliolewa akiwa na miaka 12, na ana mtoto.
98% hawa mabinti hata darasa la kwanza hawalijui.
90% mabinti wamekoswa koswa kuozeshwa kwa lazima na wazazi/walezi wao.
Hivyo kwa mazingira niyaonayo na wao kunisumbua kuhitaji kazi nimeona ni heri niwasaidie kwa njia hii niwe wakala wao hila nitawasimamia katika kupata haki zao wakiwa kwa maboss zao. Naamini kufanya hivi nitakuwa nimewasaidia hata angalau kujitambua na kupata ujuzi kidogo kuliko kuwaacha hivyo hivyo.
 
Acha uchawi wewe.
 
EXCLUSIVE: MTANDAO WA MATAPELI WA MADADA WA KAZI WANASWA!

Mambo haya ni jana tarehe 3.7.2021

Ingia YouTube

ICU CHUMBA CHA UMBEA

Uone habari kamili!
 
EXCLUSIVE: MTANDAO WA MATAPELI WA MADADA WA KAZI WANASWA!

Mambo haya ni jana tarehe 3.7.2021

Ingia YouTube

ICU CHUMBA CHA UMBEA

Uone habari kamili!
Si kila bihashara ni utapeli, kila kazi inachangamoto zake, binafsi nipo tayari hata kukukabidhi binti bureeeee, ukiona tatizo lolote nami nihukumiwe juu yake.
 
Si kila bihashara ni utapeli, kila kazi inachangamoto zake, binafsi nipo tayari hata kukukabidhi binti bureeeee, ukiona tatizo lolote nami nihukumiwe juu yake.
Sijasema ni wewe, Ila haya nimeyaona jana tu kwenye hiyo channel. Ingia utaona.

Pia sihitaji mdada wa kazi asante.
 
Uo umri kua nao makini. Chini ya 14 ni hatari. Hii ni sheria ya ajira na mahusiano kazini
 
Hao wadada wa kazi wawe na vigezo mkuu,,
Nina hakika wote 20 watachukuliwa hata week haifiki.
-- sura nzr.
-- maziwa yasiwe yamelala sn..
-- wawe shawishi muda wote.
Ili ikimpendeza anayewachukuwa abadilishe matumizi mengine..
 
Kipato hapo unapataje labda ndugu afu kitu kingine ruhusa ya wazazi sio shida vp kuhusu ruhusa ya serikali kwa mazingila huliyopo umefatilia?
Kingine vp malipo yako ww na binti inakuaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…