hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,837
mmh! Jamani, kwani wewe ukimpenda mtu unamfanyia nini ili aelewe somo?
am too dumb in signs.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh! Jamani, kwani wewe ukimpenda mtu unamfanyia nini ili aelewe somo?
i wish michelle sees this with that topic of hers.....
may be she will believe
Hashy please...embu mwache Michelle apumzike...ukimtaja tu kamoyo kanadunda!Kila siku unaweka moyo wake kwenye rollercoster.....besides size ya wallet doesn't matter to all just those who can not fill their own!!!!
Hehehe hata akilia jamani??Yeah wanaume wengi sana wanajidanganya na vijisenti vyao!ha ha ha ha ha Lizzy my dear,usimtie maanani Hashy,yeye si wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuumiza moyo....kawa muwazi nimemuelewa.....namtakia kheri na sina neno nae......
I agree with size ya wallet does not matter to all,the problem hata mwanaume mwenye kipato cha kawaida au cha chinu anafikiri anapendewa hela hata kama kapendwa alivyo....:laugh::laugh:
Hehehe hata akilia jamani??Yeah wanaume wengi sana wanajidanganya na vijisenti vyao!
Hawezi lia kuna vipepeo wengi sana mbele ya macho yake......ye ni kuchagua tu.....
Eti mwenyewe anashangaa!Hashy unasingiziwa?
Mbona kama ukweli?Mpaka mama mchungaji kaamini!
mie nimesema wengi atii....sikusema wote....l.o.l
duh:a s 20::a s 20::a s 20:
nyamaza mwaegooo....l.o.l
sinyamazi mimi......:embarrassed::sad:
Unaninyanyasa hadi watu wanaona!!!!
Nikufanyie nini!!!:thinking:
mbona wazidi kunitisha!?michelle naomba nikusaidie kutupa huu mzigo maana mzito sana!yani haubebeki na ukijitahidi unasumbua..ukiutua unakufuata!
Mbona wazidi kunitisha!?Michelle naomba nikusaidie kutupa huu mzigo maana mzito sana!Yani haubebeki na ukijitahidi unasumbua..ukiutua unakufuata!