Haroonricher
Member
- Jan 15, 2020
- 37
- 19
- Thread starter
-
- #41
Nitakuwepo hapa kwa uzi mda mwingi naamin kwa updates zitakuwepo mkuuShukrani ukifanikiwa uje utupe mrejesho...sijaweka kufeli najua chance ni ndogo ukichanga karata vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuuNi hivi mfano labda anataka kulima maharage...labda katika kulima kwake ametumia 5M..baada ya kuvuna mteja wa kwanza anakua yeye mwenyewe anajiuzia kwa bei halisi kama vile anavyotaka kuuza kwa wengine kwa bei ya jumla..hapo anakua ameaharudia pesa ya kulima na faida.
Baada ya hapo anayachukua yale mazao anapeleka kwenye duka lake la nafaka napo anauza kwa bei ya reja reja..akipata faida tayari anakua na msingi wa biashara mbili pasipo kuchanganya.
1.Anakua na msingi wa kulima na faida na soko la uhakika kwa sababu mteja wa kwanza wa mazao anayolima ni yeye mwenyewe.
2.Mbili akishajiuzia anakua anapeleka moja kwa moja dukani kwake kuuza kwa bei nafuu..
Hii system hata matajiri wakubwa wanaitumia sana,wanalima wenyewe na wajiuzia wenyewe kabla ya kumfikia mlaji
Nb:Mimi sio mfanya biashara najaribu kucreat idea tu hapo na Maharage ni kitu cha kwanza kukifanyia research Mungu akijaalia nitafanya hiyo biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii No3 nimeielewa vizuri sana kwasababu ni biashara ya uhakika na inaweza nifanya ku survive wakati nazowea mazingira ya kitaani..Hii No2 sijaielewa.."Noah" ni ninii mkuumkuu unamawazo ambayo nimeyatafiti ni jinsi tu wewe unaamua kuingia vipi na unahitaji faifa baada ya muda gani.....
1: Kunabiashara ya nguo za kike mwanza (mtumba) unakuwa unachagua nguo mojamoja dar saa 10 usiku kinakuwa na mzigo wa moto sana...kwakuchagua nguo mojamoja basi unakuwa na uhakika wa kupata nguo zenye quality nzuri
2: kunabiashara ya kufuga Noah kama dini inaruhusu hawa ukilima na mahindi ukayatumia kama chakula chao pamoja na chako utatoboa
3: kufungua frame ya nafaka hii fanya sana mtaani aiseh utapiga sana pesa maana kilasiku utauza..nafaka kama maharage, mchele, unga (unanijua mahindi unasafari mwenyewe).
4: biashara ya dagaa wa mwanza wale kuna uzi niliupitia wakasema kwa kuwatoa mwanza kuwaleta hapohapo mbeya unaweza piga pesa vizuri tu.... Hii sijajua imekaaje ila hizo 3 ninauhakika nazo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi mmoja huwezi pewa labda wiki mbili tumkuu kazi unayofanya huwezi kuomba hata likizo ya mwezi mmoja??
fanya biashara ya nafaka mkuu na mafuta ya alizeti yawepo hapo....Mkuu hii No3 nimeielewa vizuri sana kwasababu ni biashara ya uhakika na inaweza nifanya ku survive wakati nazowea mazingira ya kitaani..Hii No2 sijaielewa.."Noah" ni ninii mkuu
By the way Nakushukuru sana kwa mawazo kwan naamin naanza kupata cha kukifanyia kazi..shukran
Noah hahahah🤣🤣 asante sana kwa wazo zuri san ila hii No3 haina shakafanya biashara ya nafaka mkuu na mafuta ya alizeti yawepo hapo....
Noah ni nguruwe mkuu wanalipa sana tena san..
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba uwe nami kwan nahitaji mawazo zaidi kuliko pesa kwa sasafanya biashara ya nafaka mkuu na mafuta ya alizeti yawepo hapo....
Noah ni nguruwe mkuu wanalipa sana tena san..
Sent using Jamii Forums mobile app
week mbili zinatosha,tenga hata laki tano then nenda sehemu yoyote porini ukachukue mazao ya nafaka uje kuuza mjini,utakuwa umepata mwanga kuhusu biashara za mazao,faida na changamoto zakeMwezi mmoja huwezi pewa labda wiki mbili tu
Nimekuelewa vizuri mkuu japo huwa wana vigezo vya hiyo likizo, Ndo mana kwenye Mada yangu nimesema kuna vikwazo na kero zinazofanya niweze kujitegemea mwenyew hivyo kuna shida kidogoweek mbili zinatosha,tenga hata laki tano then nenda sehemu yoyote porini ukachukue mazao ya nafaka uje kuuza mjini,utakuwa umepata mwanga kuhusu biashara za mazao,faida na changamoto zake
Nimeshakuelewa,kazi unayofanya hata likizo wanataka wajue location ulipo si ndiyo??Nimekuelewa vizuri mkuu japo huwa wana vigezo vya hiyo likizo, Ndo mana kwenye Mada yangu nimesema kuna vikwazo na kero zinazofanya niweze kujitegemea mwenyew hivyo kuna shida kidogo
Definitely Yes mkuuNimeshakuelewa,kazi unayofanya hata likizo wanataka wajue location ulipo si ndiyo??
piga issue ya nafaka mkuu itakulipa.....ufugaji wa noah ukiwa na shamba kabisa na uhakika wa malighafi basi faida ni 100Noah hahahah[emoji1787][emoji1787] asante sana kwa wazo zuri san ila hii No3 haina shaka
but mkuu hiyo kazi mbona ni nzuri tu,unaweza kufanya biashara huku ukiendelea kuifanya...kwanini usianzishe biashara then umwachie hata wife awe anaisimamiaDe
Definitely Yes mkuu
Shukran sana kwa ushauri..kwakuwa sina dhamba kwa sasa nafikiri nafaka inawezakaa poapiga issue ya nafaka mkuu itakulipa.....ufugaji wa noah ukiwa na shamba kabisa na uhakika wa malighafi basi faida ni 100
Sent using Jamii Forums mobile app
but mkuu hiyo kazi mbona ni nzuri tu,unaweza kufanya biashara huku ukiendelea kuifanya...kwanini usianzishe biashara then umwachie hata wife awe anaisimamia
Wazo zuri sana...Lakin mkuu lengo ni kufikia uchumi wa kati au juu kabisa kwani kubaki kazini siyo suluhisho la umaskini wangu. Nilitaman sana nitumie wazo kama lako lakin najua unaelewa watumishi wa umma vile huwa wanapata vikwazo vingi pale wanapokuwa wakijaribu kujikwamua.but mkuu hiyo kazi mbona ni nzuri tu,unaweza kufanya biashara huku ukiendelea kuifanya...kwanini usianzishe biashara then umwachie hata wife awe anaisimamia
sawa mkuu nimekuelewa,kuna uzi nimekutag wa maswala ya mobile money...ukipitia ule uzi unaweza jifunza kitu...kama niliona umesema upo mbeya...ukipambana pale kabwe stendi ukapata chumba hii mitaa yenye mzunguko mkubwa wa watu or ukipata chumba huku mwanjelwa sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu utapiga hela...Wazo zuri sana...Lakin mkuu lengo ni kufikia uchumi wa kati au juu kabisa kwani kubaki kazini siyo suluhisho la umaskini wangu. Nilitaman sana nitumie wazo kama lako lakin najua unaelewa watumishi wa umma vile huwa wanapata vikwazo vingi pale wanapokuwa wakijaribu kujikwamua. Kiukweli hata kama ningelipwa M10 bado hili wazo la kujitegemea nimekuwa nikiishi nalo hivyo nadhani ili nafsi ilizike ni bore nipambane ili niweze kununua mda wa watu wengine..I mean kutoa ajira kwa watu wengine...Najua ni kazi ngumu lakin nimejitoa mwili na roho mkuu..
Asante kwa Ushauri
Kazi gani ambayo huwezi kumove kirahisi? Endelea kuweka pesa afu omba uhamisho tu. Nasema hivyo kwa maana.. kuna Milengo miwili.. mlengo ambao hauamini kwenye ajira na ule unaoamini kwenye Ajira. Hivyo basi ili kujidhatiti lazima uanze biashara ungali kazini.Ni ushauri mzuri sana mkuu nitaufanyia kazi isipokuwa labda ungenishauri zaidi juu ya kuacha kazi au kutoacha mapema maana nipo mkoa wa Mbeya sasa kwa hii biashara ya kusafirisha mazao inamaana kwamba nimpe mtu anifanyie kazi kwasababu kazi ninayoifanya hainiruhusi kumove hovyo na hata nikitoka siwezi kaa mda mrefu...
Lakin ushauri mzuri sana