Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uchumi ni tete anakua anawaza akipata mimba ataipeleka wapi au akipata shida kubwa utamsaidia? Kwahyo akifikilia hapo hisia za sex kwako zinapoteaKuna uhusiano gani wa demu kukosa hisia na hali ya uchumi wa jamaa.?
Sent using Jamii Forums mobile app
She has mapepo especially Kama Mzuri awe body sura tako au miguuHabarini,
Tangu mwanzo nilipomtoa bikra, its one year and a half. Tunapofanya romance naye kabla ya sex (kushikana, kissing) anapata hisia kubwa tu, lakini tunapofanya penetration mara nyingi (sio mara zote) tukimaliza ananiambia huwa hapati hisia yoyote au ya kutosha.
Nisaidie kwa mema na sio kejeli.
Legendary [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa mnanyanduana sehemu tofauti tofauti au kila siku kitandani chumbani? Inapunguza utamu, tokeni out mkanyanduane huko huko, afu kamia show siyo unampapasa juu juu tu usimuonee huruma siyo ndugu yako huyo. Kukamia show ndiyo enjoyment yenyewe, ataenjoy na kuwa na hisia sana
Kwamba unataka wakanyanduane kwenye zebra ya barabarani auHuwa mnanyanduana sehemu tofauti tofauti au kila siku kitandani chumbani? Inapunguza utamu, tokeni out mkanyanduane huko huko, afu kamia show siyo unampapasa juu juu tu usimuonee huruma siyo ndugu yako huyo. Kukamia show ndiyo enjoyment yenyewe, ataenjoy na kuwa na hisia sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana hisia na wewe.... Hali yako kiuchumi ikoje?
Siyo kwenye Zebra tu hata kwenye zile traffic lights pia ili mradi waenjoy is what mattersKwamba unataka wakanyanduane kwenye zebra ya barabarani au
😂😂😂Itakua anajilzimisha tu kufanya hzo mambo haijatoka moyoni, alafu bado ni mnew kwa gem[emoji23]hajalainika
Au nyumbani na kanisani wanapinga sana asifanye hzo mambo so during sex anakua kajawa na hofu sna anashindwa kuenjoy
Duuu niko dunia ya wapi miee kumbe kuna style ya Mwamposa sijui ikoje hyooo au ya kukanya mafuta ya upako?A M E K U C H O K A
Jaribu kubadilisha location na mikao,,,style kama Mjomba nchumali,, popo kanyea mbingu, Mwamposa zihusike sana..
Tofauti na hvyo may be ndio ameanza kukupa red flag ili usiwe suprised hapo mbele kidogo atakapo kupiga na kitu kizito...
Hizi ni Opinions zangu tu....kuwa Makini Mkuu
Ni vyema kujifunza vingi lakini huwezi kujua kila kitu...Duuu niko dunia ya wapi miee kumbe kuna style ya Mwamposa sijui ikoje hyooo au ya kukanya mafuta ya upako?