mkia
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 582
- 508
story yangu inaaza hivi,
nakumbuka mnamo tarehe 09/06/2012 majira ya saa 10 jioni nilimpokea mchumba wangu kutoka Same na kuja huku nilipo Ruvuma. so tukawa tunaishi pamoja, nakumbuka siku ya tarehe 27/06/2012 yaani mwezi huo huo akanza kutapika tapika akawa anachagua chakula, dah mtu mzima nikagundua inaweza kuwa tayari, nikamuuliza mara ya mwisho siku zake alienda lini? akadai mwezi uliopita yaani ameanza tarehe 12/05/2012. sasa kiukweli nikawa sina imani isije katoka nayo huko aje kunibambikia. tarehe 30/06/ tukanunua kipimo na kujiridhisha kwamba tayari. tukalea mimba na mtoto akazaliwa, sasa ana miaka miwili ila kinachonishangaza mtoto hafanani na mimi kabisa kwa mfano mdogo tu ananywele ngumu kweli kweli ukilinganisha ukoo wetu wote tuna nywele laini. cha kushangaza ni kuwa baada ya kumtambulisha kwa ndugu, hasa mzee wangu akaniambia waswasi wake kuhusu mtoto kama ni damu yangu kiukweli naumia sana rohoni kuhusu hili.
nipo njia panda, kwa wenye kujua namna ya ku calculate tarehe za hatari za kupata mimba naombeni msaada kwa hili. je mtoto atakuwa wangu? na kuhusu DNA uwezo sina.
jioni njema na week end njema.
nakumbuka mnamo tarehe 09/06/2012 majira ya saa 10 jioni nilimpokea mchumba wangu kutoka Same na kuja huku nilipo Ruvuma. so tukawa tunaishi pamoja, nakumbuka siku ya tarehe 27/06/2012 yaani mwezi huo huo akanza kutapika tapika akawa anachagua chakula, dah mtu mzima nikagundua inaweza kuwa tayari, nikamuuliza mara ya mwisho siku zake alienda lini? akadai mwezi uliopita yaani ameanza tarehe 12/05/2012. sasa kiukweli nikawa sina imani isije katoka nayo huko aje kunibambikia. tarehe 30/06/ tukanunua kipimo na kujiridhisha kwamba tayari. tukalea mimba na mtoto akazaliwa, sasa ana miaka miwili ila kinachonishangaza mtoto hafanani na mimi kabisa kwa mfano mdogo tu ananywele ngumu kweli kweli ukilinganisha ukoo wetu wote tuna nywele laini. cha kushangaza ni kuwa baada ya kumtambulisha kwa ndugu, hasa mzee wangu akaniambia waswasi wake kuhusu mtoto kama ni damu yangu kiukweli naumia sana rohoni kuhusu hili.
nipo njia panda, kwa wenye kujua namna ya ku calculate tarehe za hatari za kupata mimba naombeni msaada kwa hili. je mtoto atakuwa wangu? na kuhusu DNA uwezo sina.
jioni njema na week end njema.