C cannulla Senior Member Joined Apr 14, 2012 Posts 110 Reaction score 175 Aug 5, 2019 #21 Mr Confidential said: Milimao ikifika umri fulani unaungwa kupata mchungwa Click to expand... Mlimao ukifikisha mda gan unabebesha? Gharama ya kubebesha ni sh ngap kwa izoefu
Mr Confidential said: Milimao ikifika umri fulani unaungwa kupata mchungwa Click to expand... Mlimao ukifikisha mda gan unabebesha? Gharama ya kubebesha ni sh ngap kwa izoefu
Mr Confidential JF-Expert Member Joined Jul 1, 2018 Posts 1,532 Reaction score 2,415 Aug 6, 2019 Thread starter #22 cannulla said: Mlimao ukifikisha mda gan unabebesha? Gharama ya kubebesha ni sh ngap kwa izoefu Click to expand... Ukishafikisha urefu wa zaidi ya mita moja. (Miaka miwili ) Gharama ya kuunga ni cheap sana. Mara nyingi ni 200tshs -300. Lakini makubaliano (maongezi ) huchukua nafasi kubwa
cannulla said: Mlimao ukifikisha mda gan unabebesha? Gharama ya kubebesha ni sh ngap kwa izoefu Click to expand... Ukishafikisha urefu wa zaidi ya mita moja. (Miaka miwili ) Gharama ya kuunga ni cheap sana. Mara nyingi ni 200tshs -300. Lakini makubaliano (maongezi ) huchukua nafasi kubwa
Mr Confidential JF-Expert Member Joined Jul 1, 2018 Posts 1,532 Reaction score 2,415 Jul 19, 2020 Thread starter #23 Equation x said: Tunatakiwa tuingie field wakuu...baada ya kufanikiwa ndio tulete mrejesho;tofauti na hapo,mipango mingi ya makaratasi huwa inaridhisha na kuvutia sana. Click to expand... Kilimo cha kisasa lazima kianzie kwenye makaratasi (assesment na budgeting) kisha utekelezaji unafuata
Equation x said: Tunatakiwa tuingie field wakuu...baada ya kufanikiwa ndio tulete mrejesho;tofauti na hapo,mipango mingi ya makaratasi huwa inaridhisha na kuvutia sana. Click to expand... Kilimo cha kisasa lazima kianzie kwenye makaratasi (assesment na budgeting) kisha utekelezaji unafuata