Mawazo ya biashara za mitaji midogo rahisi kwa wafanyakazi kuzifanya

Mawazo ya biashara za mitaji midogo rahisi kwa wafanyakazi kuzifanya

Kweli mkuu plus mamikopo haya wengi sana tunachezea 300000-600000
Ambazo hazitoshi ukisema una watoto unasomesha ada hizi za million lazima uwe na source nyingine ya kukuwezesha kula tu ili hizi nyingine laki sita uziweke na ada
Na huo ndio uhalisia. Kuna watu wako kabisa hadi below 200K.

Na hao unaosema wa 300k-600K ni graduates. Sasa kuna watumishi wengi sana wanaajiriwa wakiwa na certificate na Diploma. Hawa sasa ni wengi sana mtaani na kwenye utumishi, wakija kuchukua mkopo ibaki ile ⅓ ya mshahara unakuta ni kiama tu.

Wazo la ku-intensify vyanzo vya mapato kwa watumishi ni muhimu sana. I wish kungekuwa na mkakati maalum huko kazini kuhusu uwekezaji.
 
Aisee inafikirisha Sana HONGERA ila jaribu kukopa na kufungua baishara ya kubwa ambayo itahesabika Kama side hustle Kama bar , au duka zuri la matumizi n.k
Yeah duka Zuri la matumizi hata bila kukopa ningeweza tu ku sacrifice per diem zangu 20 within 3 month ningekuwa nalo tatizo uaminifu siku hizi hata kumuweka ndugu dukani unaogopa maisha magumu sana haiwezekani apate tatizo asitumie ile hela ya duka na me najua duka la rejareja linahitaji nidhamu balaa.at least kidogo ujile wewe unajua namna ya kuirudisha shida sasa ubusy wa kazi na safarisafari hizi...labda kama una mpenzi umuweke mwenzi unashaur?
 
Tafuta mtu hasa vijana wadogo wenye umri 16-17 then muweke kwa kumpa masharti na kuandikishana huku ukimsapoti hiyo ndo mbinu wanatumia wachaga

Then usiwe Mtu was kuwaza risk all you need is success Then unaweza kuwa mtu wa ibada kanisani kwa lengo la kutafuta intimacy na church girl smartest mmoja then unajenga naye uhusiano wenye faida .

Ikiwa mtaongea Lugha moja Basi hata Kama mtaji utakuwa Mdogo ila ataelewa kuwa MAFANIKIO yako ndo MAFANIKIO yake ikiwa yeye atakuibia maana Yake wewe utafilisika na yeye pia atapoteza kazi au mtaachana so stay optimistic hizi faida za buku tano Hadi Elfu zinamfaa Mtu ambaye ametoka from zero
Yeah duka Zuri la matumizi hata bila kukopa ningeweza tu ku sacrifice per diem zangu 20 within 3 month ningekuwa nalo tatizo uaminifu siku hizi hata kumuweka ndugu dukani unaogopa maisha magumu sana haiwezekani apate tatizo asitumie ile hela ya duka na me najua duka la rejareja linahitaji nidhamu balaa.at least kidogo ujile wewe unajua namna ya kuirudisha shida sasa ubusy wa kazi na safarisafari hizi...labda kama una mpenzi umuweke mwenzi unashaur?
 
Izo ni akili ndogo.
Juice za matunda
Karanga za kukaanga
Visheti na kashata
Icecream na ubuyu
 
Bro kama ilivyo wote hatuwezi kuwa matajiri same applies kwa hili swala wote hatuwezi kuwa wafanya biashara
Acha wengine wapige na wengine wapigwe ndo ladha ya maisha
 
Back
Top Bottom