Mawazo ya kufa kwa masikini

Mawazo ya kufa kwa masikini

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Hivi kwanini maskini wengi wanakuaga mawazo ya kufa? Wewe nenda na rafiki yako yoyote ambaye si tajiri, nenda naye gorofani juu, lazima kuna swali atakuuliza. Utasikia wewe ukipewa milioni 1 unaweza kuruka hapa hadi chini?

Matajiri wakikaa vileleni huona mambo tofauti. Utasikia nice view, good weather!

Umaskini ni laana
 
Naomba kuwasilisha...
IMG-20200510-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂 dahh kuna ukweli lakini
 
Back
Top Bottom